Ni kazi kubwa kuwa CCM

Ni kazi kubwa kuwa CCM

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,255
Reaction score
16,185
Nilimuona Mh. Polepole alivyokuwa anakosa cha kusema kwenye kipindi cha kipima joto ITV. Kuwa CCM lazima ujifanye kama punguani, hasa ukizingatia kuwa wizi na ufisadi wote nchini ulifanyika wakati CCM ikiwa madarakani. Umaskini na huduma mbovu kwa wananchi vimetokea wakati CCM iko madarakani.
 
Lazima ujifanye punguani ukitaka kutetea chama.
 
Aisee umenikumbusha ccm walivyomfanya lipumba amekuwa punguani kabisa
 
Nilimuona Mh. Polepole alivyokuwa anakosa cha kusema kwenye kipindi cha kipima joto ITV. Kuwa CCM lazima ujifanye kama punguani, hasa ukizingatia kuwa wizi na ufisadi wote nchini ulifanyika wakati CCM ikiwa madarakani. Umaskini na huduma mbovu kwa wananchi vimetokea wakati CCM iko madarakani.
Utasikia hamna tena kuhudhuria kwenye mahojiano kama hayo.. Kisa jamaa alipewa za uso.. Hadi ana ikana ilani yao ya uchaguzi..
 
Aisee umenikumbusha ccm walivyomfanya lipumba amekuwa punguani kabisa
a5c998cbd682cefe1b82c0719061f67d.jpg
 
Hakuna linaloshindikana kwa ccm..... level yetu ya unafiki ni ya kiwango kisichoweza kutamkika
 
Ukitafuta waliotufikisha hapa kwa majina utakuwa unapoteza muda bure.....maana ccm wanashirikiana kupitisha uchafu wote tena kwa kuitwa na kupigwa beat na mwenyekiti kwa mtu atakayepinga miswada bungeni. Hii mimbwa ikiishaitwa na mwenyekiti kazi inayobaki nimiwachokoza wapinzani wenye akili nyingi kwa kutumia uwingi wao (wengi wape hata km ni wapumbavu na mabashite km ccm? Hapa wahenga sikubaliani nao katu....)
Tena haya malafi makubwa ccm yanapitisha haya mambo huku yakitukana watz matusi ya nguoni na kwa kejeri na dharau huu huku hii mafisadi ikipiga tu makofi....
Watz hawaitaki lkn inalazimisha kukaamadarakani kwa mabavu kwa goli la mkono bara na kwa kupora ushindi wa wazi visiwani
Shame I you ccm
 
kama hili la miswada ya madini kutohusu viwanda vya sasa ni wazi kwamba ccm imejiwekea kinga kwa walivyo tufanyia
 
Endeleani kupiga domo, CCM inapiga kazi.. Endeleeni na Lowasa
 
hapa kazi tu, kweli kuna kazi, tufunge mikanda tufanye kazi , kwa kuwa tunataka kufanya kazi, ambayo nikazi kuielewa kuwa ni kazi njema
 
Kila chama kina wajinga kibao. Hata hii mada nayo imekaa kijinga pia. Ni sawa na kuona mtu analalamika kuwa Yanga ni tabu, si uwe Simba au timu nyingine!
 
Kila chama kina wajinga kibao. Hata hii mada nayo imekaa kijinga pia. Ni sawa na kuona mtu analalamika kuwa Yanga ni tabu, si uwe Simba au timu nyingine!
Mwana CCM inamlazimu aeleze kwanini nchi na maisha ya watanzania yako hivi yalivyo leo lakini hawezi kueleza ingawa anacho cha kueleza kuhusu hilo, Ashindwa kueleza ukweli hata kama unaufahamu kwa hofu ya kufukuzwa chama, kuondolewa kwenye nafasi aliyonayo kazini au kwenye chama ama anaogopa susema kwa kuhofia biashara zake zisiingiliwe na dola.
 
Endeleani kupiga domo, CCM inapiga kazi.. Endeleeni na Lowasa
Kazi tunayoina sasa inatokana na kuimalika kwa vyama vya upinzani nchini, hili halina ubishi. BiLA ya akina Tundu Lissu na wenzake Rais Magufuli asingekuwepo. Labda TUNGEKUA na akina Membe type. Kivuli cha upinzani ndiyo fuel ya matukio yote tunayoyashuhudia hivi sasa. Kamwe tusikubali upinzani udhoofike vinginevyo tutarudi kule kule watu walikotoka, madili, mikataba mibovu, kuuza viwanda sasa tunavijenga tena, Elimu ya bure wakati bure ilifutwa na haohao, nyumba za bure wakati ziliuzwa na ilani za chama hichohi cho nk. Upside down na down upside ya watu haohao. Ni Mungu tu atakayetufikisha kule tulikotakiwa tufike, sio CCM.
 
Kweli kabisa imedhihirika maana kila wizara ni wizi tu. Wote ilikuwa scratch my back Iwill scratch yours. Nani angemtaja mwingine? Waone wanafanya kazi si kwa weledi au taratibu zinazostahili bali kwa unafiki. Hakuna ajuaye anapaswa kufanya nini mpaka wasukumwe. Wanakurupuka kila siku. JAMANI TUMECHOKA
 
sasa hivi upinzani wana hali mbaya sana; hakuna hoja wanazoibua ni maajabu tu kama haya.
 
Back
Top Bottom