matumizi ya nyumbani huna ujanja tafuta tu mtandao wa 4G.
kama una matumizi makubwa mtandao kama smart unlimited wanatoa, kwa dar 70,000 na nje ya dar 20,000 (3G).
kama ni matumizi ya kawaida tafuta line za chuo mfano TTCL utapata 7GB kwa 5000 kwa mwezi, unaweza jiunga mara nyingi.
sema utahitaji router inayotumia line ili kuweza kutengeneza wifi nyumbani.
Kama za voda vile !!Kitu SMILE www.smile.co.tz kitu 4G faster