Ni kakosea ama ndicho kilichopo moyoni mwake?

Ni kakosea ama ndicho kilichopo moyoni mwake?

Unanikumbusha kipindi cha campaign shilole alipopewa u-mc kwenye mkutano wa ccm..
 
Inawezekana jamaa. Maana wamaza haus wa sasa wamekua wakali kdg na wanachagua wasio warembo.

Actually ni dili tangu dunia iumbwe. Kumbuka hata Abram alijitwalia na akapatamo uzao wa kutosha.
Haahaahaaaà,mkuu tunanaumizana mbavu asubuhi. Anyway once a bastard always a bastard!! Huwa siwaelewi sana wanaomshobokea yule mwari kigego.
 
Haahaahaaaà,mkuu tunanaumizana mbavu asubuhi. Anyway once a bastard always a bastard!! Huwa siwaelewi sana wanaomshobokea yule mwari kigego.
Jamaa unakufuru. Mungu ana makusudi yake na njia zake ni kamilifu. Jiulize aliowazaa ndoani mbona sio maarufu km huyo? Na kwanini despite ukinzani mkubwa juu yake nyota yake inang'aa tu?

Sawa bastard. But historia ya dunia inaonyesha wanaharamu kuna nyakati wamefanya mageuzi makubwa. Nikikumbuka majina na nyakati zao nitakujuza.

Halafu, yawezekana pia sio mwanaharamu. Maana kuna wazee baadae walihalalishaga maHG wao at the expense ya maza haus
 
Back
Top Bottom