Msikilize mama Wema hapa.
Sasa sijui ni kakosea kweli au ni Freudian slip...
dah kumbe we jamaa ni gamba.....damn!Oyeeee
Sasa si hata Kura atajikuta amesahau amekipigia Chama cha mapinduzi? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tucmlaumu mama yetu,Dada yetu,ndugu yetu,kwakua amelelewa na kukulia chama alichokitaja,kwahiyo nikitu kilicho mkaa mno kinywani kwa Muda mrefu wa maisha yake.hongera sn Dada yangu,mimi nakupongeza,nakupenda sn,na kukushukuru,kukubali kufanya kz mstari wa mbele, kulikomboa taifa letu,na kurejesha tena upendo na amani yetu,ambavyo kwa kiac kikubwa vimetoweka.barikiwa sn Dada.
Upo sawaAmeteleza ukizingatia amekulia huko mpaka uzee huo
Unasema?Usimuamini sana huyo house girl wa mzee I A S.
Ha ha ha ha ha haaaahahahhahahha ccm oyeeeee
Ni hivyo hivyo mkuu.Unasema?
Aloo... uhausgeli ni dili tangu zamaniNi hivyo hivyo mkuu.