Ni kakosea ama ndicho kilichopo moyoni mwake?

Ni kakosea ama ndicho kilichopo moyoni mwake?

Tucmlaumu mama yetu,Dada yetu,ndugu yetu,kwakua amelelewa na kukulia chama alichokitaja,kwahiyo nikitu kilicho mkaa mno kinywani kwa Muda mrefu wa maisha yake.hongera sn Dada yangu,mimi nakupongeza,nakupenda sn,na kukushukuru,kukubali kufanya kz mstari wa mbele, kulikomboa taifa letu,na kurejesha tena upendo na amani yetu,ambavyo kwa kiac kikubwa vimetoweka.barikiwa sn Dada.
 
63351d2c2c56f982fce4ca35e536d606.jpg
 
USA kesha vurumisha Tomahawk kwa yule dogo au bado anarefusha mdomo tu? Kama bado ndo ujue Rais ni Taasisi. Kim ni kisemeo maana DPRK yooote ina hasira na US baby ile mbaya. Mbwai mbwai tu
 
Siku wakirudi ccm,ndio mtajua kuwa ni waganga njaa

Waterloo,siku yeye na mwanawe wakirudi ccm ndio mtawajua kuwa ni waganga njaa
Arudi tu kwani yeye wa kwanza? Alirudi mpendazoe, wasira, makongoro awe mama wema? Nadhani akirudi huko mtaacha kumwita muuza unga
 
Arudi tu kwani yeye wa kwanza? Alirudi mpendazoe, wasira, makongoro awe mama wema? Nadhani akirudi huko mtaacha kumwita muuza unga
Kurudi chamani zama za kikwete ni tofauti na Magufuli,muulize nyeti za kuku alitaka kurudi,Magufuli alimjibu nini
 
Ha ha ha pale kambarage yule mzee alisema Usiache kuwapigia kura wabunge na rais wa ccm... Kumbe nae bado alikua ana mahaba ya chama
 
Back
Top Bottom