Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,543
- 4,761
jukwaaa la kijani 😁
Hhahaha Zimbabwe mkuuJukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?
MkuuYani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochote
Hatq ivyo namshukuru mungu huko sipo huwa nawashangaa watu wanasema mods naomben mniunganishe aitheeee yan shetan kweri unamkimbilia
lile jukwaa ambalo ukiingia ukataka ku type neno Poa keyboard inakuletea autoword prediction ukianza "P" tu inakukulazmisha uandike PAPUCHU,
Ukiona hivyo ujue una nyota ya Jukwaa la wakubwaJukwaa la wakubwa ukiona comments yangu basi jua Uzi umetolewa MMU au chit chat!!
Ipo siku ntachangia lakini
Sawa sawa ndugu KatibuYani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochote
Hatq ivyo namshukuru mungu huko sipo huwa nawashangaa watu wanasema mods naomben mniunganishe aitheeee yan shetan kweri unamkimbilia
Sidhani kama hilo jukwaa linanhitaji kwa sasa.Muandikie mods yoyote Ombi la kuunganishwa utaunganishwa
Jukwaa gani gumu kama sanda ya kuzikia maiti?
Karibu sana mkuu.
Kule unaingia bila boksa huku mbupu na ndeke ziko njen
Uncircumcised ngoshaLa bavicha kama lipo