Jukwaa la: News and Current events
Sababu:
Lugha haipandi.
Lile ambalo shetani kasimamia kisiginoKichwa cha habari kiko wazi mithili ya jua la saa sita mchana...!
Jukwaa gani gumu kama sanda ya kuzikia maiti?
Karibu sana mkuu.Jukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?
Hilo jukwaa nalitamanii,walegeze basi masheraitiinasisi tukanuse hata harufu yake tuu,.Jukwaa la wakubwa ukiona comments yangu basi jua Uzi umetolewa MMU au chit chat!!
Ipo siku ntachangia lakini
Na ndilo Jukwaa lililoniwezesha kumpata mtu fudenge...!!!Karibu sana mkuu.
Kule unaingia bila boksa huku mbupu na ndeke ziko njen
Yani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochoteJukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?
HahahahaNa ndilo Jukwaa lililoniwezesha kumpata mtu fudenge...!!!