Mbona nilisikia ww ndio katibu muenezi..teh teh..usitunyimie bwanaasisi wote wakubwa humuu..Yani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochote
Hatq ivyo namshukuru mungu huko sipo huwa nawashangaa watu wanasema mods naomben mniunganishe aitheeee yan shetan kweri unamkimbilia
Wap huko ulisikia bibie hekooooooo......Mbona nilisikia ww ndio katibu muenezi..teh teh..usitunyimie bwanaasisi wote wakubwa humuu..
Wap huko ulisikia bibie hekooooooo......
Ngoja ninywe sunda moja la konyagi na Dompo.....ntarud
Hivi ili uchangie hilo jukwaa unapaswa kuwa na sifa zipiGreat thinkers mana hata ruusa tu ya kuchangia bado sina. ila kwingine nachangia mradi mada isiwe umbo
Jukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?
Muandikie mods yoyote Ombi la kuunganishwa utaunganishwaJukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?
hata wewe?Yani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochote
Hatq ivyo namshukuru mungu huko sipo huwa nawashangaa watu wanasema mods naomben mniunganishe aitheeee yan shetan kweri unamkimbilia
Hili jukwaa kama lipo sidhani kama nitakuja hata kukosea nikaingia huko. Sina hata sekunde ya kupoteza huko.La bavicha kama lipo
Wacha we!!!Yani hilo jukwaa siwez kabisa kupost chochote
Hatq ivyo namshukuru mungu huko sipo huwa nawashangaa watu wanasema mods naomben mniunganishe aitheeee yan shetan kweri unamkimbilia
Jukwaa la wakubwa kwasababu hata sijui linafananje. hivi member wa huko ni hawahawa wa humu au wanatokea Malawi?