Ni jinsi gani unaweza kuflash simu yako

Ni jinsi gani unaweza kuflash simu yako

The solution mentioned above can not work in dead phones(dead firmware). I think someone who has a software for flushing phone may help us.
 
Nina samsung Anycall ya korea. Inaonekana program zake bado ni za korea kiasi kwamba baadhi ya part za menu bado zinatoka kwa kikorea. Kibaya zaidi ni kwamba hizi operation zetu za kibongo kama M-PESA na zingine ambazo unaanza na nyota na kumalizia na reli kwenye simu hii ni ishu, kwani hainipi option ya kuendelea na operation hiyo. JE inawezekana ikarekebishwa? na ni kwa kiasi gani? email. skyanganile@yahoo.com
 
Wajameni nna tecno p5 imezima ghafla naimekataa kuwaka tena tafadhalini kama kuna anaefaham chochote anijuze
 
Je simu yako ni Network locked? Kama ni ndio , Taarifa zifuatazo zinatakiwa ili uweze kupata unlock codes sahihi
  • IMEI number
  • Network locke Mfano: Verizon, O2, au AT & T
  • Network Country: Mfano UK, USA
Yaani IMEI number ni xxxxxxxxxxxxxxxxxx, locked by Verizon USA

Huawei ascend p1 u9202l1

Huawei y300

motorola verzon

Samsung GT

Galaxy duos 7562

blackberry 8520

blackberry 8520

Blackberry 9320
 
kama una simu imezima gafla na nk niambie ntakusaidia ila gharama yake elfu 5 kwa tigo pesa na ntakuachia ujuzi huo bure nakuahidi utamsahau fundi ni pm
 
Back
Top Bottom