BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,034
- 3,945
Hii ni ya Kiswahili zaidi! Haina ukweli wowwote. Zamani tulianishwa tusijikinge hats na Mwanvuli mwekundu... Vitu ambavyo havina uhusiano wowote na radi!Husiva nguo nyekundu
Hii ni ya Kiswahili zaidi! Haina ukweli wowwote. Zamani tulianishwa tusijikinge hats na Mwanvuli mwekundu... Vitu ambavyo havina uhusiano wowote na radi!Husiva nguo nyekundu
Kama ni nyumbani kwako weka vikinga mvua, ama kama uwezo mdogo panda mti wa mnyaa uwanjani pako karibu na jengo, unazuia radi 100%.Mara nyingi inapotokea radi nashindwa kujua kipi kifanyike,zamani nilikuwa napaka mkaa kichwani sasa sijui kama ilikuwa sahihi,siku nyingine nilikuwa najificha nyuma ya kondoo,nikiaminishwa kondoo anampiga radi,wengine walikuwa wanasema watoto mapacha wanazuia radi sasa naomba ushauri wa kitaalamu wana JF JINSI GANI YA KUJIKINGA NA RADI
Muongo sana.Sema wazee .....tuache utani radi ni kitu kingine .......
Mwaka Jana nusu nilambe ardhi kiss radi but mungu ni mkubwa......mmi nimezoea huwa nachomeka simu chaji then naendelea kucheza games
Sasa siku hiyo mvua ya nguvu inapiga plus radi ....Mimi sielewi kitu naaendelea na gemu kwenye simu.........aiseee ulipiga mwanga mkali Sana ......nilijikuta nmebamizwa ukutani .....then simu iliganda kwa muda kiganjani ..then ikaanguk...daaaah nilijua nishakata Moto
Siku nyingine nimeshika shoka na pasua kuni ........ilipga radi ya nguvu ......nlihisi kuna mtu ka connect waya wa umeme.....kwenye shoka (ya chuma).......plus kutupwa kule
But yote haya yalikuwa yanatokea kwa sababu kulikuwa na mti karibu na hom .......huwa radi zilikuwa zinapiga Sana kweny ule mti
Radi sio za mchezo