thatone
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 365
- 196
Habari JF,
Nina mdogo wangu alimaliza kidato cha sita akapata division 3.17 akakataa kwenda diploma akidai kuwa atajiendeleza hapo badaye.
Lakini anataka zile kozi fupi fupi kama miezi 6, mitatu. Je, ni kozi gani ambayo anagalau mtu unaweza kusoma na kujiendeleza kimaisha?
Ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mdogo wangu alimaliza kidato cha sita akapata division 3.17 akakataa kwenda diploma akidai kuwa atajiendeleza hapo badaye.
Lakini anataka zile kozi fupi fupi kama miezi 6, mitatu. Je, ni kozi gani ambayo anagalau mtu unaweza kusoma na kujiendeleza kimaisha?
Ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app