DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 368
- 380
IPI NI NJIA BORA KULIPA MAFAO YA UZEE
1. Kiinua Mgongo pekeyake (Mtu apewe kiasi chote 100%)?
2. Kiinua mgongo pamoja na pensheni ya kila mwezi?
3. Pensheni ya kila mwezi tu, mstaafu akistaafu anaingia kwenye system ya kulipwa pension ya kila mwezi isiyo pungua asilimia 75% ya mshaara wake?
1. Kiinua Mgongo pekeyake (Mtu apewe kiasi chote 100%)?
2. Kiinua mgongo pamoja na pensheni ya kila mwezi?
3. Pensheni ya kila mwezi tu, mstaafu akistaafu anaingia kwenye system ya kulipwa pension ya kila mwezi isiyo pungua asilimia 75% ya mshaara wake?