St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,645
- 11,153
Mkuu sina uhakika na bei lakini nenda maduka ya vipodozi au supermarket unaipata. bila ya kusahau kuna wauza vipodozi hewa(fake)Asante....Nivea inauzwa bei gani mkuu?! Halafu naona nivea ina range kubwa za creams, cream ipo itakua ni nzuri na bei plz