Ni kama BOXER.mishahara jr huyu mnyama huwa anapendwa sana na wachawi.je ni kwanini na anafaida gani kwa wachawi?
swissme
Ha ha ha! Nimekua nasikia hivyo huko kwetu kanda ya ziwa, kuwa huyo jamaa ni usafiri mmoja matata.wachawi wanapanda.
swissme
Teh! Balaa sana hawa CCM.![]()
![]()
![]()
![]()
VX V8
hii ya mamba mwenyewe nimesikia, anakimbia zaidi ya boti.Wasukuma wanamtumia Sana huyu Kama Gari. Nilisikia wakerewe wanatumia mamba..mshana Jr ni kweli?
Mkuu niliisikia mahali ila sikuamini labda mshana Jr anisaidie katika hilihii ya mamba mwenyewe nimesikia, anakimbia zaidi ya boti.
Mkuu itakuwa vizuri ukishare experienceNishasafiria huyu mdudu enzi za utoto...
Ha ha ha! Nimekua nasikia hivyo huko kwetu kanda ya ziwa, kuwa huyo jamaa ni usafiri mmoja matata.
wachawi wanapanda.
swissme
sasa huyu akipandwa na mtu si anavunjika? au wanapungua uzito hao wasafiri?Ni kama BOXER.
Hii kweli kiboko
i wose thinking the same thing.sasa huyu akipandwa na mtu si anavunjika? au wanapungua uzito hao wasafiri?