Ni hoteli gani inafaa kwa mapumziko Morogoro mjini?

Ni hoteli gani inafaa kwa mapumziko Morogoro mjini?

Nenda Glonency hotel ipo pale Nane nane dar road ina mazingira mazuri
 
Kwa Tshs 30,000/= hakuna 'Hoteli' utakayopata Morogoro, itakayokuhakikishia usalama na utulivu, ongeza hela hiyo, chini ya hapo utapata 'Guest House'
 
Kwa Tshs 30,000/= hakuna 'Hoteli' utakayopata Morogoro, itakayokuhakikishia usalama na utulivu, ongeza hela hiyo, chini ya hapo utapata 'Guest House'

Aongeze hela gani jamani wakati aliyonayo ndio uwezo wake?
 
Kwani Kidia One ni hoteli au Lodge? Nikilala pale mwaka jana, ni pazuri!
 
Jaribu Tabora Motel, maeneo ya Nane nane. Ni patulivu sana, wasafi na utaenjoy. Vyakula bei kuanzia elfu sita. Vyumba elfu 20 kwa 25 vyenye AC.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Nadhani ni kati ya 25,000 na 30,000! Nililala pale mwezi wa nane mwaka jana na na hii inflation, sijuiii!
 
Habari zenu wadau.
Tafadhali naomba kujua ni hoteli gani nzuri morogoro mjini hasa huduma, usalama na bei nafuu ya vyumba?
Natafuta hotel ambayo naweza kupata chumba kwa bei isiyozidi sh. 30,000 kwa siku.
Mh hapo Moro kuwa makini. Kuna wadada wanaiba simu,pesa na nguo na unaachiwa smg tu.
 
Back
Top Bottom