Nenda tafuta chumba mbali kabisa. Omba ruksa kazini, vamia mtaa na lori Fusso, beba kila kilicho chako, vunja line ya simu au m-block kabisa. Hamia chumba kipya na uongeze vitasa.
Ya nini kufa bp kwa mtu uliyekutana naye ukubwani?? Huyo hata ungemnunua malaya ukamwomba mje piga nght hapo kwako hatoki nje atajifanya kulala kwenye kochi awachungulie.
Ila urafiki gharama
Wewe ni mpumbavu kabisa, wala sijaona unacho omba ushauriwe hapa.... Gad'dem it..
Wanaume wa Daslam hovyo kabisa, yaani unakosa maamuzi hata kwenye maisha yako wewe binafsi...Shubamitabachan....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.