Hivi hata ukiwa jambazi..... Utaanza na lipi?
Amejaaliwa upaja mie hoiii
Hamumchoki!! huyu mama mapromo....
mleta mada mwenzako alikuwa hamjui ni nani
kama huo hoi ukiuona wangu si uta:rip:
dada mmojawapo wa kitanzania , akiwa na bulungutu lake la vijisenti, huku ni kuwaalika majambazi waje kukubaka. hatari sana.
![]()