Ni hali mbaya ya kimaisha au watu wamepokea neno?

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Uhalisia uliopo ni kwamba thamani ya pesa ya shilingi imeshuka sana(Value for money)

Uwezo wa shilingi ya kitanzania kununua bidhaa (Currency purchasing power) imeshuka sana

Shilingi elfu kumi Leo ni sawa na kila moja ya nyama ya ng'ombe, Hapo mtanzania mwenye familia hajanunua kuni, chumvi, mafuta na viungo kama nyanya na vitunguu kwa ajili ya kupika hiyo nyama ya kilo moja

Leo mtanzania unahitaji kuwa na shilingi zaidi ya elfu mbili mia tatu na arobaini kupata dola moja ya kimarekani

Baadhi ya sehemu za starehe (Luxiory centres) kwa siku ya jana Dar es Salaam maeneo tofauti yametoa picha kamili, Zingatia huu ni mwisho wa mwezi yaani Pay days kwa watu wengi.

Maeneo ya starehe ambayo yamechangamka sasa unaweza kuyahesabu Dar es Salaam tofauti na miezi miwili iliyopita

Wahudumu sehemu za starehe wamebaki wenyewe wanapiga story, Ni tofauti na miezi miwili iliyopita.

Gharama za vitu muhimu(Consumer necessity) zimepanda juu. Bidhaa kama mchele, sukari, Mafuta na ngano, Gharama za nyanya, viazi na mahindi, Vipimo vya reja reja vimepunguzwa kukidhi gharama za manunuzi.

Swali la kujiuliza, Pesa za uviko zilijazwa kwenye uchumi lakini hazijaleta Madhara yeyote

Tunasikia matrilioni yamesainiwa lakini bado thamani ya shilingi inazidi kuporomoka

Corona alisingiziwa kila kitu Katika miezi miwili iliyopita kuwa Yeye corona ndio Chanzo cha maisha ya watu kuwa magumu

Sasa Ukraine na Urusi ndio ajenda mpya ya wanasiasa wa Afrika kusingiziwa kuwa tangu mwezi uliopita Ukraine na Urusi wanafanya maisha ya watanzania kuwa magumu

Kama sio hali mbaya ya maisha inayofanya gharama ziongezeke na watu kushindwa kumudu mahitaji muhimu na ya starehe basi yawezekana watu wamebadilika na kupokea neno linalowataka kuamini sio lazima kutegemea mkate Katika maisha ya kila siku
 
Uhalisia uliopo ni kwamba thamani ya pesa ya shilingi imeshuka sana(Value for money)

Uwezo wa shilingi ya kitanzania kununua bidhaa (Currency purchasing power) imeshuka sana

Shilingi elfu kumi Leo ni sawa na kila moja ya nyama ya ng'ombe, Hapo mtanzania mwenye familia hajanunua kuni, chumvi, mafuta na viungo kama nyanya na vitunguu kwa ajili ya kupika hiyo nyama ya kilo moja

Leo mtanzania unahitaji kuwa na shilingi zaidi ya elfu mbili mia tatu na arobaini kupata dola moja ya kimarekani

Baadhi ya sehemu za starehe (Luxiory centres) kwa siku ya jana Dar es Salaam maeneo tofauti yametoa picha kamili, Zingatia huu ni mwisho wa mwezi yaani Pay days kwa watu wengi.

Maeneo ya starehe ambayo yamechangamka sasa unaweza kuyahesabu Dar es Salaam tofauti na miezi miwili iliyopita

Wahudumu sehemu za starehe wamebaki wenyewe wanapiga story, Ni tofauti na miezi miwili iliyopita.

Gharama za vitu muhimu(Consumer necessity) zimepanda juu. Bidhaa kama mchele, sukari, Mafuta na ngano, Gharama za nyanya, viazi na mahindi, Vipimo vya reja reja vimepunguzwa kukidhi gharama za manunuzi.

Swali la kujiuliza, Pesa za uviko zilijazwa kwenye uchumi lakini hazijaleta Madhara yeyote

Tunasikia matrilioni yamesainiwa lakini bado thamani ya shilingi inazidi kuporomoka

Corona alisingiziwa kila kitu Katika miezi miwili iliyopita kuwa Yeye corona ndio Chanzo cha maisha ya watu kuwa magumu

Sasa Ukraine na Urusi ndio ajenda mpya ya wanasiasa wa Afrika kusingiziwa kuwa tangu mwezi uliopita Ukraine na Urusi wanafanya maisha ya watanzania kuwa magumu

Kama sio hali mbaya ya maisha inayofanya gharama ziongezeke na watu kushindwa kumudu mahitaji muhimu na ya starehe basi yawezekana watu wamebadilika na kupokea neno linalowataka kuamini sio lazima kutegemea mkate Katika maisha ya kila siku
Jamaa yangu hizi ni siku za mwisho, ilitabiliwa uchumi utakua mgumu sana ndipo sasa ile namba 666 itakapo tumika na kuna mpango tutumie pesa moja.
 
Matumizi ya fedha za uviko kwa malengo ya kusisimua uchumi hayakuwa sahihi.

Huwezi niambia utasisimua uchumi kwa ujenzi wa vyoo na madarasa.

Waliofanya hivyo walikosea na sidhani kama watakiri kuwa walikosea.

Hali ya uchumi ni mbaya mno hakuna pesa mtaani na bidhaa zipo juu, karibu kila bidhaa imepanda maradufu bila maelezo ya kutosheleza.

Haya viongozi wetu hawayafahamu kwakua wapo mbali na Raia.
 
Matumizi ya fedha za uviko kwa malengo ya kusisimua uchumi hayakuwa sahihi.

Huwezi niambia utasisimua uchumi kwa ujenzi wa vyoo na madarasa.

Waliofanya hivyo walikosea na sidhani kama watakiri kuwa walikosea.

Hali ya uchumi ni mbaya mno hakuna pesa mtaani na bidhaa zipo juu, karibu kila bidhaa imepanda maradufu bila maelezo ya kutosheleza.

Haya viongozi wetu hawayafahamu kwakua wapo mbali na Raia.
mkuu hivi walitakiwa wazipeleke wapi ambapo watawagusa watu wote?
 
korona ilikua lugha Yao ya kujitetea,sahivi ni vita mpaka 2030, waziri wa fedha anashindwa kua mbunifu, anaomba pesa za msaada kwa asasi za kiraia zielekezwe serikalini🙄🙄🙄
 
Uhalisia uliopo ni kwamba thamani ya pesa ya shilingi imeshuka sana(Value for money)

Uwezo wa shilingi ya kitanzania kununua bidhaa (Currency purchasing power) imeshuka sana

Shilingi elfu kumi Leo ni sawa na kila moja ya nyama ya ng'ombe, Hapo mtanzania mwenye familia hajanunua kuni, chumvi, mafuta na viungo kama nyanya na vitunguu kwa ajili ya kupika hiyo nyama ya kilo moja

Leo mtanzania unahitaji kuwa na shilingi zaidi ya elfu mbili mia tatu na arobaini kupata dola moja ya kimarekani

Baadhi ya sehemu za starehe (Luxiory centres) kwa siku ya jana Dar es Salaam maeneo tofauti yametoa picha kamili, Zingatia huu ni mwisho wa mwezi yaani Pay days kwa watu wengi.

Maeneo ya starehe ambayo yamechangamka sasa unaweza kuyahesabu Dar es Salaam tofauti na miezi miwili iliyopita

Wahudumu sehemu za starehe wamebaki wenyewe wanapiga story, Ni tofauti na miezi miwili iliyopita.

Gharama za vitu muhimu(Consumer necessity) zimepanda juu. Bidhaa kama mchele, sukari, Mafuta na ngano, Gharama za nyanya, viazi na mahindi, Vipimo vya reja reja vimepunguzwa kukidhi gharama za manunuzi.

Swali la kujiuliza, Pesa za uviko zilijazwa kwenye uchumi lakini hazijaleta Madhara yeyote

Tunasikia matrilioni yamesainiwa lakini bado thamani ya shilingi inazidi kuporomoka

Corona alisingiziwa kila kitu Katika miezi miwili iliyopita kuwa Yeye corona ndio Chanzo cha maisha ya watu kuwa magumu

Sasa Ukraine na Urusi ndio ajenda mpya ya wanasiasa wa Afrika kusingiziwa kuwa tangu mwezi uliopita Ukraine na Urusi wanafanya maisha ya watanzania kuwa magumu

Kama sio hali mbaya ya maisha inayofanya gharama ziongezeke na watu kushindwa kumudu mahitaji muhimu na ya starehe basi yawezekana watu wamebadilika na kupokea neno linalowataka kuamini sio lazima kutegemea mkate Katika maisha ya kila siku
Bila katiba mpya wala hawajali
 
Reli TV siku hizi hawasikiki tena kwenye kampeni yao ya kuonyesha mendeleo ya mradi. Huko Stigler's ndio kabisa!!.

Kukopa kunazidi kuongeza deni la taïfa,...hakuna namna, tutembeze bakuli Dunia nzima kama alivyowahi kushauri yule Mzee wa Msoga.
 
Ghana kukabili hali mbaya kama hiyo serikali yao imeamua kukata mishahala ya wabunge, mawaziri na watumishi wa serikali kuwa nusu ili kujikomboe na infation. tunapokuwa na hali mbaya kama hiyo maudhi yake utakuta posho za wabunge hazimulikwi wala mawazili kuembelea magari ya kifahali hakuangaliwi. sehemu zote ambazo wafanyakazi hupata posho za kiholela hazibanwi. hivi hata mabosi eti kukaa kikao cha kugawa tender ofisini utakuta wanalipwa posho za kufa mtu, milage allowaqnce zifutwe kabisaaa. mtu anatanua na nyumba za shilika bado analipwa millage allowance!. huko kote kuangaliwe jamani . sometime a donkey needs a blanket!!!!
 
Matumizi ya fedha za uviko kwa malengo ya kusisimua uchumi hayakuwa sahihi.

Huwezi niambia utasisimua uchumi kwa ujenzi wa vyoo na madarasa.

Waliofanya hivyo walikosea na sidhani kama watakiri kuwa walikosea.

Hali ya uchumi ni mbaya mno hakuna pesa mtaani na bidhaa zipo juu, karibu kila bidhaa imepanda maradufu bila maelezo ya kutosheleza.

Haya viongozi wetu hawayafahamu kwakua wapo mbali na Raia.

Hapo dawa ni KATIBA MPYA TUUUU
 
Matumizi ya fedha za uviko kwa malengo ya kusisimua uchumi hayakuwa sahihi.

Huwezi niambia utasisimua uchumi kwa ujenzi wa vyoo na madarasa.

Waliofanya hivyo walikosea na sidhani kama watakiri kuwa walikosea.

Hali ya uchumi ni mbaya mno hakuna pesa mtaani na bidhaa zipo juu, karibu kila bidhaa imepanda maradufu bila maelezo ya kutosheleza.

Haya viongozi wetu hawayafahamu kwakua wapo mbali na Raia.
Ni lini pesa imekuwa nyingi mtaani au kila mtu mfukoni ana mabulungutu

Ova
 
Back
Top Bottom