Corrections...chama twawala
Kitakuwaje chama twawala wakati ni wakina pangu pakavu ndo wanaokiweka madarakani? kwa nini kisiwe chama twakilisha? manake bila kula za kina pangu pakavu hakiwezi kuwa hapo kilipo
Corrections...chama twawala
nimejiuliza hili swali pia, kuwa kazi za chama ndani na may be kwa gharama za serikali, mmh sijui wenye kuelewa hii inasemaje watupe msaada ktk tuta! but sio sahihi naamini hivyo!
Du hayo tena ni makubwa,hebu tujiulize kutakuwa kweli naulinganifu wa medani za kiasi kati ya CCM na vyama vingine wakati hawa wanatumia fedha na nyumba za serikali kufanya mikakati yao ya kukandamiza upinzani kweli hayo ni matatizo makubwa,ninauhakika siku watanzania watakapoamua kuikataa CCM wengi wao wataporomoka vitambi
CCM ni chama kiongozi nchini mwetu,Viongozi wa CCM ndo hao watawala wa serikali yetu...kwahiyo CCM ndio Serikali...Hivyo HAKUNA UBAYA VIKAO KUFANYIKA IKULU!! ni mangapi yamefanyika ya kichama ndani ya IKULU lakin hayakuwekwa hadharani....conclusion ni HALALI hata kama hutaki kukabali ndio hivyo ishakuwa..
Watakufa gafla!!
Rais wa Jamhuri ana uhuru wa kufanya mkutano na kikundi chochote ikulu wakati wowote atakao.
Swali kama hili linakuwa na mantiki pale mkutano ufanyike ikulu alafu Rais asiwepo... lakini maadamu yupo utaambiwa na wana-usalama kwamba waliona Lumbumba sio salama sasa utasema je? na ofisi yake na makao yake yako Ikulu.
Ni kweli green should never be associated na CCM, manake green stand for life (uhai). Thanks Gaijin!lolz!i will be very happy ccm itakapoacha kuvaa magwanda ya kijani manake imenifanya nishindwe kuwa na shirt la kijani! ggggr cant be associated with them hta by color tu
Nilikimbia haraka kuona Kasheshe ameandika nini kujaribu kuspin hili ... usalama? of all things ungekuja nazo unasema usalama? ccm wana jengo lao kule idodomya (ambalo by the way linatakiwa kutumia na vyama vyote vya siasa nchini). Kwa nini Kikwete asingepeleka mkutano huko?
Kwa ushabiki it make a lot of sense, kwa kuangalia objectively it is cost effective kufanya mkutano wake ikulu kwa meeting kama ya CC.
Unafahamu mzee cost ya kumpeleka Rais wa Jamhuri Dodoma na Kurudi. au unadhani Rais atalipiwa na chama... safari zote za Rais zinalipiwa na Serikali mkuu... they are the one responsible kwa usalama wake.
Nadhani hapa utakubaliana na wale wanaoshauri kuwa raisi wa nchi asiwe pia mwenyekiti wa chama ili kupunguza matatizo kama haya. Wewe unasemaje?
Yes, But until when... kwa sasa yuko ndani ya mstari mkuu, na huwezi kulaumu kabisa.
Furthermore, kwa utaratibu wa sasa alivyofanya mkutano Magogoni it is cost effective kwetu taifa na kwa CCM kuliko angeupeleka Dodoma.
Ukifuatilia kwa makini CCM pia wanaogopa mzigo wa kusafirisha wajumbe wao ndio maana mara nyingi sana NEC inakutana wakati wa Bunge sessions.
Rais wa Jamhuri ana uhuru wa kufanya mkutano na kikundi chochote ikulu wakati wowote atakao.
Swali kama hili linakuwa na mantiki pale mkutano ufanyike ikulu alafu Rais asiwepo... lakini maadamu yupo utaambiwa na wana-usalama kwamba waliona Lumbumba sio salama sasa utasema je? na ofisi yake na makao yake yako Ikulu.
Wataalamu mnaojua katiba na mfumo wa siasa wa nchi hii mpo mbona hamjibu au mnataka tu kutukana bila kutuelekeza katika katiba na mfumo wa kuendesha nchi? Tunafuata misingi ipi ya demokrasia.yuaani nazungumza sisi ,yaani watanzania, sio ule wa Marekani au wa Uingereza ama wa China? Duhh nimepagawa kabisa.npo na gazet la mwananchi naiona hii picha na habari nkashtuka, mi nahsi c harari coz pale unatumika mda na raslimali za serikali badala ya kutumia za chama.