MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kwa hali hii nakubaliana na weweIkulu si pahala pa takatifu mkuu
Kwa hali hii nakubaliana na weweIkulu si pahala pa takatifu mkuu
Tulitaka Rais mwenye maamuzi magumu kwa hiyo akisikiliza sana ushauri nchi itarudi kulekule. Acha atupange tupangike mbele ya safari utakuja kuniambia hii nchi itakavyokuwa tamu. Tumpeni muda tu vinginevyo tunamuvu accordingly to sustainable development goals. Just a matter of timeHuyo ndio magu hashauriki kamwe
Mkuu kiatu hakivaliwi mkonon!Rais yupo bize sana,kwa hiyo hakuna cha ajabu kama kuna kikao kikamfuata Mwenyekiti ofisini kwakeKuna tetesi kuwa leo kuna kikao cha CCM ikulu haya Tanganyika bahati mbaya au makusudi, na kama ni hivyo ndio tuseme lumumba imeamia rasmi ikulu
tangu mwanzo Ikulu haijawahi kuwa Pahala pa takatifu, mrejee Daudi na Selemani mambo waliyoyafanya wakiwa Ikulu,Kwa hali hii nakubaliana na wewe
Hakuna ubaya Kweli watu WA Lumumba mna ufinyu Kweli wa mawazo Ikulu ni sehemu ya kufanyia shughuli za serikali nyie mnabadilisha matumizi et eeeeeeeh bus semeni ni chamwino ndogo tuwaeleweKuna Ubaya?
Kwani Mheshimiwa sio WA lumumba??!Kuna tetesi kuwa leo kuna kikao cha CCM ikulu haya Tanganyika bahati mbaya au makusudi, na kama ni hivyo ndio tuseme lumumba imeamia rasmi ikulu
Mnafiki huyo asikupe shida.Jamani nimeona kwenye vyombo vya habari kuwa kuna kikao cha chama kinaendelea Ikulu. Sasa mimi najua wale wengine waliisha pigwa stop siasa mpaka 2020 na mikutano marufufu hata ile ya ndani ni shida tu kila siku wanafurushwa sasa iweje hawa wanafanya tena kwenye nyumba ya umma? je hawa wengine nao wakiomba kwenda kufanyia vikao vyao kumbi za Ikulu wataruhusiwa?
Hahaha yaani tuna shiida upstairs!! Hivi kwa kuwa CCM ni chama tawala mnaweza kufanyia hata kwenye kumbi za mahakama??CCM ndio chama tawala Ikulu iko chini yao lazima tukubali hata huko duniani kote vinafanyika