Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Ndo nasikia kwako hebu tusubiri taarifa ya habari TBC
Suala siyo maamuzi magumu sasa bali maamuzi ya kipumbavu na visasiSiku hizi Sisikii zile Mbwembwe za kutaka Rais Mwenye Maamuzi Magumu!
Kuna Ubaya?Kuna tetesi kuwa leo kuna kikao cha CCM ikulu haya Tanganyika bahati mbaya au makusudi, na kama ni hivyo ndio tuseme lumumba imeamia rasmi ikulu
SIZONJE akihamia Dom namie naungana nae.Chimwaga imehamia Dar
Asa weKuna Ubaya?
mbulula wa LUMUMBA utauonea wapi ubaya
Naamini Uko sahihiSuala siyo maamuzi magumu sasa bali maamuzi ya kipumbavu na visasi
Siku hizi Sisikii zile Mbwembwe za kutaka Rais Mwenye Maamuzi Magumu!
Siku hizi Sisikii zile Mbwembwe za kutaka Rais Mwenye Maamuzi Magumu!
Ikulu si pahala pa takatifu mkuuKwa hiyo ikulu imekuwa ni kumbi za mikutano ya ccm, ikulu ni mahali patakatifu, sasa ikulu imekuwa kijiwe cha siasa za ccm, aisee hii nchi inaelekea wapi