Ni haki kuwahukumu single mother mother kwa kutumia sample ya Wema Sepetu na Diamond?

Hapa kuchangia sitaweza kwasababu mtoa mada amewatuhumu kina Wema na Diamond na mimi sipo kwa ajili ya kuwapandisha chati hao kina Wema na Diamond kwa kuwajadili wakati wanayofanya wao wengi tu wanayafanya tena wakiwa na wazazi wote na ndugu kibao ya kuwashauri. Cha ajabu kutoka kwao hakuna ila ni kwasababu wao wakifanya mambo yanaandikwa au kutangazwa na vyombo vya habari wakati watu wengi wanafanya mambo ya ajabu kuliko wao lakini ni kwasababu hayaandikwi au kutangazwa popote.
 
kuna watu wanalelewa na single mothers lakin hii huwa inawafanya kuwa much responsible maana huwa wanaona taabu wanazopata single mothers. Hao kina wema hata wangekuwa na wazazi wote bado wangekuwa malimbukeni tu sifa zimewalewesha
 
Wadau sina nia ya kuoffend single mother lakini nadhani kuna la kujadili.
Nimetumia sample ya Wema Sepetu na Diamond kama sample ya kautafiti kangu ka dharura baada ya kuchoshwa na tabia za hawa watoto ambao hawana adabu wala akili zao haziwatoshi wote wawili.
Hawa wote wawili ni matunda ya single mother na michepuko, hivyo basi kwa kutumia sample hii ndogo kuna ya kujiulize je watoto hawa walipata malezi mema? au ni tatizo la nyumba kutokuwa na baba hivyo kina mama tuwaondoe kwenye lawama ya watoto hawa kugeuka kituko?

Nota bene: Yule moderator kiherehere mwenye jini hamisha thread hii muiache hapahapa mmu tujenge familia, jukwaa la celeb nalijuwa hii haihusu huko.

Cc: MCHUNGUZI HURU The Boss Kongosho King'asti

Mkuu Matola mimi ni zao la single mother. Na najiona kukamilika kwa maeneo mengi tu, wanaonizunguka wanaelezea hili kwa ufasaha. Nafanya vizuri kwa familia yangu, ofisini na maeneo mengine! thanx lord. Nadhani hao uliowataja wana matatizo mengi yao binafsi kuliko yale ya wazazi wao!
 
Last edited by a moderator:
kumbe na wewe na Mr wako huwa mnashauriana maisha kupitia Instagram? hngera sana kama hulioni tatizo basi wewe ni zaidi ya tatizo.

BTW mada yangu haikubase kujadili huo ujinga mmoja tu

Mmmh nahisi sijaelewa aisee...wacha ntulie
 
Jamani tupunguze biases kwa hao mama waliojitahidi hata kidogo kuwakuza hao binadamu

Anyway mi ni product ya single mama lakini when I meet na mtu asiyenifahamu huwa wanahisi mi ni mwenzao na kuni classify kwa watoto wa kishua! Haya ni matokeo ya malezi niliyopata from mama.

Lakini to be honest hili suala la single mama limekuwa likipigiwa kelele kila mara. Kama alivyolileta MATOLA.Je tujiulize kuna nini? Ni kweli single mama wana weakness hiyo katika malezi? Je ni kweli waliolelewa na both parents hawana Tabia mbaya? Ebu tuanzieni hapo labda tunaweza kuambulia kitu chenye manufaa.
 
Hapa kuchangia sitaweza kwasababu mtoa mada amewatuhumu kina Wema na Diamond na mimi sipo kwa ajili ya kuwapandisha chati hao kina Wema na Diamond kwa kuwajadili wakati wanayofanya wao wengi tu wanayafanya tena wakiwa na wazazi wote na ndugu kibao ya kuwashauri. Cha ajabu kutoka kwao hakuna ila ni kwasababu wao wakifanya mambo yanaandikwa au kutangazwa na vyombo vya habari wakati watu wengi wanafanya mambo ya ajabu kuliko wao lakini ni kwasababu hayaandikwi au kutangazwa popote.
Wewe kwa kifupi huwezi mijadala acha vipingizio hakuna jipya hapa duniani ambalo halijafanyika, kuwepo na mashoga haimaanishi watu wasijadili na kutafuta solution.

Kuhusu kuwapa umaarufu wao ni maarufu tayari wala hawahitaji boost yako na ni kioo cha jamii ndio maana nikawatumia wao kama sampling ndogo tu kwa sababu research yangu siyo Academicaly, au mnajifanya hamjui vijana wetu wanyoa viduku kumuiga Baloteli?
 
Jamani tupunguze biases kwa hao mama waliojitahidi hata kidogo kuwakuza hao binadamu

Anyway mi ni product ya single mama lakini when I meet na mtu asiyenifahamu huwa wanahisi mi ni mwenzao na kuni classify kwa watoto wa kishua! Haya ni matokeo ya malezi niliyopata from mama.

Lakini to be honest hili suala la single mama limekuwa likipigiwa kelele kila mara. Kama alivyolileta MATOLA.Je tujiulize kuna nini? Ni kweli single mama wana weakness hiyo katika malezi? Je ni kweli waliolelewa na both parents hawana Tabia mbaya? Ebu tuanzieni hapo labda tunaweza kuambulia kitu chenye manufaa.
Nafikiri Watanzania bado tuna tatizo kubwa kwenye swala la debate, ni kwamba mada kama hii ambayo nimeileta kwa mfumo wa swali tujadili kwa pamoja na mwisho wa siku tufikie kupata conclution kwamba tatizo siyo malezi ni watoto wenyewe wanajitia uchizi au ni kweli kuna tatizo la malezi.

Kwenye debate sitalajii mtu aanze kunung'unika badala ya kutetea hoja zake kwa fact?

Hata free P tukipigwagwa madongo hapa hatulalamiki bali hutetea hoja zetu kwa fact kwamba hizo papuchi ni haki yetu na blah blah mwisho wa siku wadada wanatuelewa.
 
Nafikiri Watanzania bado tuna tatizo kubwa kwenye swala la debate, ni kwamba mada kama hii ambayo nimeileta kwa mfumo wa swali tujadili kwa pamoja na mwisho wa siku tufikie kupata conclution kwamba tatizo siyo malezi ni watoto wenyewe wanajitia uchizi au ni kweli kuna tatizo la malezi.

Kwenye debate sitalajii mtu aanze kunung'unika badala ya kutetea hoja zake kwa fact?

Hata free P tukipigwagwa madongo hapa hatulalamiki bali hutetea hoja zetu kwa fact kwamba hizo papuchi ni haki yetu na blah blah mwisho wa siku wadada wanatuelewa.


Ok may be I got u wrong!
na ndio maana nikasema hivi
Mimi naweza nisikubali kuwa single mama ni tatizo bali ni sisi watoto. Nikijiangalia Mimi mwenyewe kama mfano.
Self determination ni kila kitu kwa mwanadamu.
 
Malezi ya wazazi wote wawili ndiyo yanayotakiwa ingawa hao uliowataja kama sample yetu wana matatizo tu ya akili.
 
Huyo Wema mbona Dada zake wametulia na Maisha yao , hata hatuwasikii vituko huo usingle Maza ni Wema tu , kumbukeni kila mtoto na uchizi wake , naye wema ndio uchizi wake
 
Ndio tunarudi kule kule, MALEZI!
Hiyo issue mtambuka, kwa mfano; wazazi wamechangia kwenye asilimia ngapi? Manake kuna wengine unalelewa ukiambiwa kufanya sex ni dhambi, hadi siku unaolewa unajifeel guilty kufanya tendo la ndoa na mumeo wa ndoa (nimemkumbuka MwanajamiiOne ).

Think of this gfsonwin, mama yako alikusisitizia nini kuhusu shule? kuhusu kuacha kazi just because umeolewa? kuhusu sleeping around with boys? kuhusu kumuogopa mungu and the fact that mungu anakuona kila mahali (it was really disturbing kuwa nikiwa chooni ama bafuni? napigwa chabo ama? hehehe).

Ofcoz nakubaliana na The Boss, kuna exceptional cases kama ya wema.
Matola mie hapa sio kosa la malezi ila ni kosa la akili jambo ambalo ni factor ya vitu vingi sana ikiwemo elimu, exposure, zeel, etc.

Wema angekuwa binti wa kirombo leo hii ungekuta anamiliki benki yake kama sio shopping mall, like wise diamond angekuwa mkaka wa kikinga ungekuta anamiliki kkoo yote so to me hili silishangai. niliona kwenyen ista wema kasema hana mpango wa kuzaa to me huo ni ujinga lkn angekuwa kama mie japo sina ela leba nimeenda mara 4 ningekuwa nazo kama yeye ningeenda mara 10 kama sio 15 nafkiri.

apa ishu sio malezi ya mama apa ishu ni mtambuka sana
 
Last edited by a moderator:
ndio maana ukristo ulikataza talaka ,single mother ni mtambo wa watoto wasio na maadili au watukutu,watoto wa mitaani,makahaba ,majambazi,kisa kukosa ule mkwara wa dingi pale homu wamama wengi wana huruma hata wakiwa wakali inakuwa ngumu kumnyoosha mtoto mtukutu kama ney wa mitego au dudubaya

Mkuu mdukuzi suala la.udini limefikaje
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna hata watoto wa wachungaji na masheikh wanafanya mambo ya ajabu kuliko unavyofikiria.

Hiki ni kizazi cha nyoka na kizazi kengeufu. Maadili yameporomoka, si muda wa kuwalaumu wazazi.

Kuna watu wamesoma seminary, lakini baada ya shule wamekuwa mfano mmbovu kuliko wale wa Saint uko sahihi kabisa charming


If your not right...go left,,
 
Mkuu mdukuzi suala la.udini limefikaje
yaani ukitaja neno ukristo au uislam ndio udini
maana ya udini ni kutumia dini yako kukandamiza dini nyingine au kufanya ubaguzi kwa misingi ya dini mi nimerefer,kwani ukisema waislama wanafunga ramadhani ni udini
 
Mimi nimelelewa na dada since niko 5yrs...case yangu yaweza kuwa sawa na single momz?

Ili uweze kujielewa vizuri nijibie maswali haya?

1.dada yako aliolewa na mwanaume mwenye maisha yake?

2.au dada yako kama hakuolewa aliishi vipi? kipato ?watoto alizaaje? na mabwana tofauti?

3.wewe je huyo mume if aliolewa aliku treat vipi?mtoto wake au 'just an extra' kwenye famili?
 
Ili uweze kujielewa vizuri nijibie maswali haya?

1.dada yako aliolewa na mwanaume mwenye maisha yake?

2.au dada yako kama hakuolewa aliishi vipi? kipato ?watoto alizaaje? na mabwana tofauti?

3.wewe je huyo mume if aliolewa aliku treat vipi?mtoto wake au 'just an extra' kwenye famili?

Nlipoanza kuishi nae alikuwa na almost 25 yrs na alikuja kuolewa akiwa na miaka kama 36 hivi japo kabla ya hapo alikuwa na mahusiano na wanaume tofauti katika vipindi tofauti. Alipoolewa nlihamia boarding kwa hiyo malezi ya shemeji sijaekspiriens kiviile.... Alikuwa na maisha yake yes
 
Nlipoanza kuishi nae alikuwa na almost 25 yrs na alikuja kuolewa akiwa na miaka kama 36 hivi japo kabla ya hapo alikuwa na mahusiano na wanaume tofauti katika vipindi tofauti. Alipoolewa nlihamia boarding kwa hiyo malezi ya shemeji sijaekspiriens kiviile.... Alikuwa na maisha yake yes

Basi wewe umelelewa ile 'typical single mom' na the fact unakumbuka kuwa alikuwa na mabwana tofauti tofauti basi 'umeathirika' kinamna fulani.....si ajabu ukawa tabia za mabinti walioathirika na malezi hayo

mfano waweza jikuta unamng'ang'a nia mwanaume ambae hakufai....au unatafuta 'father figure' man ujifidie kukosa malezi ya baba na kadhalika.....
 
Basi wewe umelelewa ile 'typical single mom' na the fact unakumbuka kuwa alikuwa na mabwana tofauti tofauti basi 'umeathirika' kinamna fulani.....si ajabu ukawa tabia za mabinti walioathirika na malezi hayo

mfano waweza jikuta unamng'ang'a nia mwanaume ambae hakufai....au unatafuta 'father figure' man ujifidie kukosa malezi ya baba na kadhalika.....

Nimeathirika kivipi mkuu....
Na hiyo ya pili ina ukweli kwa asilimia 70... I guess
 
Back
Top Bottom