kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,291
- 8,622
wema na diamond sio suala la malezi bali ulimbukeni wa sifa na ustaa uchwara unawasumbua
Sidhani ni sawa kuhukumu future ya mtoto kwa kuangalia usingle mother. Kuna wanaofanya vituko kuliko vya kina wema na still ni malezi ya pande mbili
Kwa hio Nancy Suma, Brigita Miss Tz, Ray C, etv si watoto wa ndoa wale? Mbona wamekosa haya kiasi hiko?
Inategemea tu na akili ya mtoto mbona Barack Obama ni product ya single mother? Theory yako haina. Coefficient of corelation. Na variance iko juu sanaaaa!
Umepanic.......Kwa hio Nancy Suma, Brigita Miss Tz, Ray C, etv si watoto wa ndoa wale? Mbona wamekosa haya kiasi hiko?
Inategemea tu na akili ya mtoto mbona Barack Obama ni product ya single mother? Theory yako haina. Coefficient of corelation. Na variance iko juu sanaaaa!
MSOME DIAMOND HAPA CHINI KWANZA ALICHOANDIKA KWENYE INSTA YAKE HALAFU DIGEST.Nakubaliana na hoja za King'asti, OLESAIDIMU, The Boss kwa asilimia kubwa sana. Naomba niongeze mchango kama ifuatavyo.
Katika maisha yetu ya kawaida baba huwa na jukumu la kulea hasa kifedha lakin kimaadili mama ndiye huwa na jukumu hili. Tuwe wakweli wengi wetu humu tumekuzwa ivi kati ya baba na mama ni mzazi yupi aliyekuwa ana play part kubwa katika kukulea kimaadili?? wazazi wa kiume wako lazy fair sana af wanakuwaga hawajali. Binafsi siwashangai sana manake kwa sisi tulioendaga sande skul tulifunzwa hivi "mtoto mwenye hekima ni fahari ya baba yake bali mpumbav ni mzigo wa mama yake"
kwahiyo mama hujitahd sana kumlea mtoto katika maadili ili sasa asije akawa mzigo wake hapo badae, na aibu ya mtoto haiendi kwa mzazi wa kiume hata siku moja.
one million dollar qn ivi kwan wazazi wao wa kiume walikuwa wapi kuwaachia wazazi wa kike haya majukumu?? huyo baba yake Wema na baba yake Diamond walikuwa wapi??
maisha hayako fea tu kwa mzazi wa kike ndicho nikionacho hapa.
Af Matola kama una refer case ya Wema na Diamond kwenye fiesta ya juzi jamani mbona hakuna baya lililofanyika pale?? sijui kwann huko Istagram watu wanawachamba akina wema as if wamekosea wakati mbona hata live shows za hao mastaa wa nje wapenzi wao hupanda kuwapa shavu kwa kucheza tena wema maskini alicheza yaani ata dk 3 hazikuisha wimbo ukaisha??
sijui mie nikoje ila sijaona kosa kwenye ile shoo nisamehe sana kwa kusema hili hapa.
kwani diamond na wema wamefanya nini cha ajabu ambacho wengine hawafanyi mpaka wawe mfano?
MSOME DIAMOND HAPA CHINI KWANZA ALICHOANDIKA KWENYE INSTA YAKE HALAFU DIGEST.
Nafkiri ningewaona kweli Mnaakili na Mapenzi ya
dhati kwa Msanii wenu... kama mngemshauri
apunguze Mashoga wapenda anasa na apunguze
Stareh zisizo na Faida, wenda ingemsaidia Pesa
kuzitumia kwenye kufanya kazi na kuleta
maendeleo badala ya kuwapa viwanda vya
pombe... Mimi kama bwana, wajibu wangu ni
kuhakikisha Mpenzi wangu anakula vizuri, anavaa
vizuri, analala vizuri, na kumuwezesha mtaji wa
kufanyia kazi.... Waswahili wanasema Mchungaji
bora anatakiwa kuhakikisha anampeleka Ng'ombe
wake Kwenye Maji safi....ila yeye ng'ombe
mwenyewe ndio anatakiwa aamue kunywa maji!!!!!
Au mnataka nikishampa mtaji niache kufanya na
show tena na kuigiza nimuigizie mie ???? Nisiende
Studio nikae dukani nimuuzie mie????.. ni juhudi
zako kwanza!... leo hii mimi Hata ningepewa
Mamilioni ya mamilioni kama nisingekuwa na
moyo wa mie mwenyewe kwanza kutaka kujituma
na kupenda kufanya kazi yangu nisingefikia hapa
nilipo!....Mxieeeeeeeew! Kama nimekuchefua
Lamba ndimu Usitapike
Matola mie hapa sio kosa la malezi ila ni kosa la akili jambo ambalo ni factor ya vitu vingi sana ikiwemo elimu, exposure, zeel, etc.MSOME DIAMOND HAPA CHINI KWANZA ALICHOANDIKA KWENYE INSTA YAKE HALAFU DIGEST.
Nafkiri ningewaona kweli Mnaakili na Mapenzi ya
dhati kwa Msanii wenu... kama mngemshauri
apunguze Mashoga wapenda anasa na apunguze
Stareh zisizo na Faida, wenda ingemsaidia Pesa
kuzitumia kwenye kufanya kazi na kuleta
maendeleo badala ya kuwapa viwanda vya
pombe... Mimi kama bwana, wajibu wangu ni
kuhakikisha Mpenzi wangu anakula vizuri, anavaa
vizuri, analala vizuri, na kumuwezesha mtaji wa
kufanyia kazi.... Waswahili wanasema Mchungaji
bora anatakiwa kuhakikisha anampeleka Ng'ombe
wake Kwenye Maji safi....ila yeye ng'ombe
mwenyewe ndio anatakiwa aamue kunywa maji!!!!!
Au mnataka nikishampa mtaji niache kufanya na
show tena na kuigiza nimuigizie mie ???? Nisiende
Studio nikae dukani nimuuzie mie????.. ni juhudi
zako kwanza!... leo hii mimi Hata ningepewa
Mamilioni ya mamilioni kama nisingekuwa na
moyo wa mie mwenyewe kwanza kutaka kujituma
na kupenda kufanya kazi yangu nisingefikia hapa
nilipo!....Mxieeeeeeeew! Kama nimekuchefua
Lamba ndimu Usitapike
kwani diamond na wema wamefanya nini cha ajabu ambacho wengine hawafanyi mpaka wawe mfano?
Yana ubaya gani haya maneno?
Walewale mfalme yuko uchi wao wanasema mfalme kapendeza.Matola, mwingine huyu hapa :behindsofa:!