Hahhahah...panasonic yenyewe ya mchina!ahusiano yana mambo jamani...Aksante kwa kunijuza maana nisingeelewa kabisa duh!
Kwa hayo maneno hapo chini nilishawahiambiwa mie wala sihitaji ushuhuda wa mtu mwingine ................. cpatikuelezea inaumaje mtu wako wa karibu namna hiyo awe anakwambia maneno hayo!.............halafu leo anageuka eti nisamehe cweziishi bila wewe!! Mxiii!! Panasonic mkubwa!!!
Aksante kwa kunijuza maana nisingeelewa kabisa duh!
Kwa hayo maneno hapo chini nilishawahiambiwa mie wala sihitaji ushuhuda wa mtu mwingine ................. cpatikuelezea inaumaje mtu wako wa karibu namna hiyo awe anakwambia maneno hayo!.............halafu leo anageuka eti nisamehe cweziishi bila wewe!! Mxiii!! Panasonic mkubwa!!!
Hahhahah...panasonic yenyewe ya mchina!ahusiano yana mambo jamani...
Hehhee ...basi ile ya bei chei kabisa!!!Lizzy yaani baada ya muda wote huo kupita,
ndo wajua leo kuwa panasonic ni ya mchina lol....!!!!!
kweli, " kivuli hakina rangi"[/QUOTE]
Halafu............NYUKI hapigwi BUSU........................
Labda yale mambo ya kizamani katafutiwa akaona asiwaangushe wazazi, au waonaje FLHivi mpaka unafanya maamuzi ya kuoa kuolewa ulikuwa unawaza nini?
kwani ulilazimishwa ..sio haki kuwa na mpenzi nje ya ndoa maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge
Kama umeamua kuingia kwenye ndoa inabidi ufate sheria za ndoa mme mmoja /mke mmoja
Kama wewe Mwisilam kwa mwanaume oa kwa mwanamke kuwa mvumilivu ama omba talaka na umweleze mwenzio kuwa uliolewa nae pasipo kumpenda .
Sasa hapa sijui ndo utaanza kutafuta mpenzi unayempenda ...!!?:mod:
Labda yale mambo ya kizamani katafutiwa akaona asiwaangushe wazazi, au waonaje FL
Naogopa kuchangia mwenzenu!:biggrin1:
Naogopa kuchangia mwenzenu!:biggrin1:
Kama huyaoni je?
Maana kuna watu tafuna ya mwenzie haipendi...anavyokula mkate wake hapendi....anavyolala hapendi...tembea yake hapendi....anavyotazama hapendi...anavyoshika remote hapendi....imba yake hapendi....oga yake hapendi...vaa yake ndo kabisa hata avae nini hapendi....ongea yake hapendi...masikio yake hapendi....
Oh, no!.. Blaki Womani, uko tayari kuwaabandon ya kids because of 'love'??.. tell me ur kidding!..
Aisee hapo dalili za mtu kuwa na mpango wa kando ni kubwa sanaHivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?
Rose1980, kuna factors nyingi sana zinazompelekea mtu kumuoa mtu fulani...
E.g.
1. Influence ya wazazi.
2. Money/wealth.
3. Kutafuta uraia wa nchi fulani.
4. Security reason.
5. Inawezekana ukakutana na ur right one baada ya ndoa
6. Unplanned pregnancy
.................. Etc
7. Siku hizi kuna sababu ambayo ni nzito zaidi. Wenyewe wanasema KUONDOA MKOSI: Hii ipo kwa akina dada.
Changia tu mama toka moyoni mwako