Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,250
- 4,773
Matajiri hao kakaMbona sioni wadada wakitoa confession zao za kupigwa na umaskini humu 🤔
Matajiri hao kakaMbona sioni wadada wakitoa confession zao za kupigwa na umaskini humu 🤔
Hakika mkuuMungu atusaidie kwa kweli. Umaskini mbaya sana sikia kwa watu tu.
😂 Duh hujaisahauMtu kupakataa kwao na kuwaambia washkaji zake amekuja kwa mganga leo nendeni tutaonana siku nyingine.
Anaafanya utani na umasikini huyuUnajiita masikini unafrji ndani Michele na pia unatumia gesi ndani na bustani ya matembele mkuu
Hujakutana na choka mbaya bongo sio poa
Kumbe na friji unalo, mwenzio Sina ila haitokuja tokea nikajiita maskini.Neverfriji
Katika hali ya kawaida as a man ningemuofa mdada akae mbele Ile jamaa alinikomand kwa kitu ambacho as a prudent man ningefanyaSasa wewe si wa kiume