Hello...!!
Baada ya kupata kiamsha kinywa nikajisikia hamu ya soda (pepsi) ikabidi niagize.
Nikapiga mafundo kadhaa mpaka ikafika nusu. Nilipoitazama likanijia swali kichwani hivi nanufaika na nini kwa unywaji wangu huu wa soda. Nikagundua sifahamu manufaa yeyote. Hususani kiafya zaidi ya kuburudika tu.
Kwenu wananzengo hivi soda ina manufaa yeyote kiafya? Ni yapi hayo? Na hasara pia itapendeza tukikumbushana zaidi.
Plus na Uchangamfu.... hasa Pepsi BIGUnaongeza carbonate acid, sugar, gas na maji mwilini.
Kwa Mtogole inauzwaje?Ninakunywa coca cola moja weekend tena si diet ile original. Maisha yenyewe mafupi haya kaka.
piga hiyoDaah umetaja pepsi nimepata kiu ghafla, hebu fanya na mimi nipate pepsi mwanangu mpendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bia ina faida nyingi kiafya endapo utainywa kwa kiasi.
... kwanza I declare interest; I hate ulevi; I mean unywaji wa pombe aka vilevi. Pili, tukizungumza objectively kitu chochote in excess mwilini kina madhara; ila in comparison kati ya lager na soda, kitaalamu lager ni nafuu kuliko soda. Kwanza lager ni kimea/ngano inapikwa inawiva tofauti na soda ambayo ni just mixture of chemicals. What matters is how much you consume and at what frequency.Mimi binafsi soda zinanikataa kabisa, nikinywa hata soda moja tu najisikia kama viungo vya mwili vimelegea. Lakini nikinywa safari baridi inayotoa jasho najisikia mwenye nguvu, furaha na amani nafsini. Inawezekana bia ina madhara machache kuliko soda (kwa maoni yangu). Hii ni kutokana na ninavyojisikia mara baada ya kunywa.
... neno la msingi sana hilo japo hapo ndipo failure ya walevi wengi ilipo!Bia ina faida nyingi kiafya endapo utainywa kwa kiasi.
Unakunywa nini siku hizi?Nina mwaka wa 6 huu.... nimeacha kunywa Soda Demi
🙄
Hebu nitajie mkuuBia ina faida nyingi kiafya endapo utainywa kwa kiasi.