Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Hello...!!
Baada ya kupata kiamsha kinywa nikajisikia hamu ya soda (pepsi) ikabidi niagize.
Nikapiga mafundo kadhaa mpaka ikafika nusu. Nilipoitazama likanijia swali kichwani hivi nanufaika na nini kwa unywaji wangu huu wa soda. Nikagundua sifahamu manufaa yeyote. Hususani kiafya zaidi ya kuburudika tu.
Kwenu wananzengo hivi soda ina manufaa yeyote kiafya? Ni yapi hayo? Na hasara pia itapendeza tukikumbushana zaidi.
Baada ya kupata kiamsha kinywa nikajisikia hamu ya soda (pepsi) ikabidi niagize.
Nikapiga mafundo kadhaa mpaka ikafika nusu. Nilipoitazama likanijia swali kichwani hivi nanufaika na nini kwa unywaji wangu huu wa soda. Nikagundua sifahamu manufaa yeyote. Hususani kiafya zaidi ya kuburudika tu.
Kwenu wananzengo hivi soda ina manufaa yeyote kiafya? Ni yapi hayo? Na hasara pia itapendeza tukikumbushana zaidi.