Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,400
- 79,639
Nimejaribu kupata picha
Nimejaribu kupata picha
Unanyonya nini?
Sisi wanywaji wa soda za kuchanganyia kama club soda,tonic water hakuna faida yoyote tunayopata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kabisa mkuu...unakuta naends naagiza soda water watu wananishangaa sana,kwa umri ni ajabu sana wanasema ni soda za wazee wa 60+ hukoo
Uwezekano wa kupata magonjwa kama kisukari, unene uliopita kiasi (overweight), shida za mifupa, magonjwa ya kinywa, vidonda vya tumbo, n.k. ni mkubwa.
Unaongeza carbonate acid, sugar, gas na maji mwilini.
Umenigusa kabisaUwezekano wa kupata magonjwa kama kisukari, unene uliopita kiasi (overweight), shida za mifupa, magonjwa ya kinywa, vidonda vya tumbo, n.k. ni mkubwa.
Una uhakika kuwa bia haina Chemicals ?... kwanza I declare interest; I hate ulevi; I mean unywaji wa pombe aka vilevi. Pili, tukizungumza objectively kitu chochote in excess mwilini kina madhara; ila in comparison kati ya lager na soda, kitaalamu lager ni nafuu kuliko soda. Kwanza lager ni kimea/ngano inapikwa inawiva tofauti na soda ambayo ni just mixture of chemicals. What matters is how much you consume and at what frequency.
... hata chakula unachokula kila siku kina chemicals - chumvi, sugar, etc. What I said is "soda is just a mixture of chemicals"; unlike beer which cooking at least takes place at some stage.Una uhakika kuwa bia haina Chemicals ?
Unaongeza carbonate acid, sugar, gas na maji mwilini.
Halafu coca na pepsi nahisi zina kakilevi, yaani mimi nikikaa siku moja au mbili bila kupata kuna muda kabisa sijisikii fresh akili yangu yote inakuwa huko.Mie najitahidi kuacha ila Kuna siku natamani coca cola bariidii...
Wazee wa kilaji bana mnajuaga kumtetea mpendwa wenu hadi basi.. Kama soda ina sukari na bia Ina nafaka si mwisho wa siku end product ya vyote ni glucose(simple sugar), ambayo ni crucial kwa kuupa mwili nguvu!... kwanza I declare interest; I hate ulevi; I mean unywaji wa pombe aka vilevi. Pili, tukizungumza objectively kitu chochote in excess mwilini kina madhara; ila in comparison kati ya lager na soda, kitaalamu lager ni nafuu kuliko soda. Kwanza lager ni kimea/ngano inapikwa inawiva tofauti na soda ambayo ni just mixture of chemicals. What matters is how much you consume and at what frequency.