Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Watu wa tume ya mawasiliano kesho baada ya mikutano hii mtuletee mrejesho hapa ni Telivisheni gani imeangaliwa na watu wengi zaidi.

Nasi kama wananchi tutatafakari kwa kina.

Ni kesho pale ACT na Zitto watakapokuwa Mwembe Yanga live kupitia Channel Ten na Dr Slaa atakuwa Live ITV kutoka Ubungo Plaza akiteta na wazee wa Dar es salaam.
 
Ni kesho pale ACT na zitto watakapokuwa mwembe yaka live kupitia Channel Ten na Dr Slaa atakuwa Live ITV kutoka ubungo plaza akiteta na wazee wa Dar es salaam
Haa ha ha kama futuhi hivi!

Hivi kwani Chadema tayari wameishaitoa ilani?maana mara ya mwisho alisema hakuna ilani ya kuwaambia wananchi au ni Zitto ndio kawafanya nao waruke hewani wakati huohuo?utoto!
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Kweli nimeamini zitto marehemu wa kisiasa munajaribu kumpamba kama marehemu maua kumringanisha na watu toka chama chake ili angalau jina livume la msaliti huu upuzi usio kuwa na kichwa
 
Haa ha ha kama futuhi hivi!

Hivi kwani Chadema tayari wameishaitoa ilani?maana mara ya mwisho alisema hakuna ilani ya kuwaambia wananchi au ni Zitto ndio kawafanya nao waruke hewani wakati huohuo?utoto!

Hahahaha babu nae kumbe km jk na wazee wa dar, kw nyani haoni kundule.
 
Haa ha ha kama futuhi hivi!

Hivi kwani Chadema tayari wameishaitoa ilani?maana mara ya mwisho alisema hakuna ilani ya kuwaambia wananchi au ni Zitto ndio kawafanya nao waruke hewani wakati huohuo?utoto!

Mwehu haujielewi
 
Haa ha ha kama futuhi hivi!

Hivi kwani Chadema tayari wameishaitoa ilani?maana mara ya mwisho alisema hakuna ilani ya kuwaambia wananchi au ni Zitto ndio kawafanya nao waruke hewani wakati huohuo?utoto!
relevance ya zitto ni kujitag na chadema kwi kwi kweli msaliti ni msaliti hana platform ya kuheshimika na ameshuka kisiasa lazima wasaliti wenziwe waje kujinadi kwa kupitia magwiji wa siasa Tanzania arudishe burungutu la watu alilopata pitia kimei la mtesa sana
 
Zitto ameshika vema sana nafasi ya Lyatonga Mrema ... agent wa CCM dhidi ya mabadiliko Tanzania ....
 
NASHUKURU SANA
CHANNEL TEN; BIG UP..................................................................

NYIE NI WAZALENDO WA KWELI; HII NDO CHANNEL TEN YA KINA KIBONDE , NYANGASA N,K

ACT - NDO HABARI YA DAR

CHADEMA PELEKA SHMABA ARUSHA NA KILIMANJARO;

WANATAKA KUOKOA FISADI SABODO NA ACC YAKE YA USWISS NA MBOWE .

MASIKIO YOTE MWEMBEYANGA

is
 
NASHUKURU SANA
CHANNEL TEN; BIG UP..................................................................

NYIE NI WAZALENDO WA KWELI; HII NDO CHANNEL TEN YA KINA KIBONDE , NYANGASA N,K

ACT - NDO HABARI YA DAR

CHADEMA PELEKA SHMABA ARUSHA NA KILIMANJARO;

WANATAKA KUOKOA FISADI SABODO NA ACC YAKE YA USWISS NA MBOWE .

MASIKIO YOTE MWEMBEYANGA

is
Aiseee sasa umenifungua macho maana huu mkutano umekuja from no where dah!!!
 
Watu wa tume ya mawasiliano kesho baada ya mikutano hii mtuletee mrejesho hapa ni Telivisheni gani imeangaliwa na watu wengi zaidi.
Nasi kama wananchi tutatafakari kwa kina
Ni kesho pale ACT na zitto watakapokuwa mwembe yanga live kupitia Channel Ten na Dr Slaa atakuwa Live ITV kutoka ubungo plaza akiteta na wazee wa Dar es salaam

Kwani ni mashindano? Kwenye mdahalo mbona Slaa alikimbia? Huyo Paroko hana uwezo wa kupambana na Msomi Zitto!

Slaa size yake ni Mch Ngwajima ,Mch Lwakatale ,Mch Mwingila
 
Hivi Dr.W.Slaa kwanini una muogopa sana Zitto hadi unatuma vijana wako wake kukupaisha humu wakati ulipo itwa kwenye mdahalo ulikimbia?
 
Last edited by a moderator:
Ata nchi za wenzetu, usingeweza kuona Jeb Bush na Hillary Clinton wanahutubia au ata Lipumba na Kinana wanahutubia live kwenye TV wakati mmoja.Ni utoto tu, wakikuwa wataacha!
 
Back
Top Bottom