Hizo dawa haziaminiki sana. MIMI nashauri atumie IVF (in vitro fertilization) hii ni njiaya uhakika, na anaweza kupangiwa humo ndani hata watoto wawili, wanne , sita uchaguzi wake tu , maradi awe na mkwanja mrefu.
Uwe na kitu kama Tshs 6m. Na hii ni kwa gharama zote hadi kitu kinatulia tumboni. uchunguzi, kupandikiza etcUpo serious??mkwanja mrefu kuanzia sh ngapi?? nataka nifanye mpango wa kukutana na dr anifanyie hiyo kitu
Uwe na kitu kama Tshs 6m. Na hii ni kwa gharama zote hadi kitu kinatulia tumboni. uchunguzi, kupandikiza etc
e bwna hako kamchezo n hatar m anko wangu alienda south kutengeneza mimba ya mapacha kwl alifankiwa lakin sa hiv mkid m1 kila cku n pancha keshapigw opereshen ka 4 za kumrekebsha so mshaur jamaa acjarib ts very dangerous game co utan
msaada tafadhali
my friend anahitaji kuzaa mapacha so desparately,, eti ni dawa zipi zitamfaa na anywe muda gani na dosi yake
asante
Hapa tz ni hosp gani wanafanya hayo mambo??
....Ni swai zuri sana hilo maana haya madawa yanaweza kabisa kuwa na side effects mbaya sana kwa mama au kwa mtoto/watoto watakaozaliwa.