happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
wanaume sasa msipowaamini wake zenu kiasi cha wao kujua asset zenu mnawaamini kina nani jamani!
ona sasa mambo ya kuanza kuulizana vitandani ICU ''eti beby niliwahi kusikia kuwa una kampuni ya uwindaji ngorongoro file lake liko wapi?''uuuuwih hamad kabla hujamjibu vizuri unazidiwa anakutingishaje mabega sio ili upone hapana ili uendelee kumwelekeza zilipo mali zingine!
cha kutufanya tuonekane wachawi kwa mama zenu au dada zenu ni nini jamani!
kwa walio na hii tabia hebu jirekebisheni!
mke wako ni wewe ndani yake!hebu badilikeni jamani!
Hapo pagumu... Amuulize ila atumie ujanja, amwambie kwa kuwa utachukua muda hapa hospital basi niambie wadeni wako na biashara zako ili nisimamie au nimuulezeke mtu wa kusimamia maana la sivyo atamkatisha tamaa mgonjwa, huwezi jua Mungu mkubwa, anaweza kupona huyo so awe very carefully kwenye kuongea.
Hapo pagumu... Amuulize ila atumie ujanja, amwambie kwa kuwa utachukua muda hapa hospital basi niambie wadeni wako na biashara zako ili nisimamie au nimuulezeke mtu wa kusimamia maana la sivyo atamkatisha tamaa mgonjwa, huwezi jua Mungu mkubwa, anaweza kupona huyo so awe very carefully kwenye kuongea.
Huwezi muliza mtu akiwa kwenye hali hiyo,kwani alikua wapi alipokua mzima wa afya huyo mumewe?
na asisahau kua ya mungu anaweza akamuinua akaonekana mwanga wake,chamsingi amuachie mungu na amuombe afya njema.....
Aisee, kumuuliza mswahili afu akipona hata waliokushauri watakuruka. Acha zipotelee mbali. Muangalie, mtunze. Mali kama umepangiwa utapata tu. Wacha hizo habari!
wanaume sasa msipowaamini wake zenu kiasi cha wao kujua asset zenu mnawaamini kina nani jamani!
ona sasa mambo ya kuanza kuulizana vitandani ICU ''eti beby niliwahi kusikia kuwa una kampuni ya uwindaji ngorongoro file lake liko wapi?''uuuuwih hamad kabla hujamjibu vizuri unazidiwa anakutingishaje mabega sio ili upone hapana ili uendelee kumwelekeza zilipo mali zingine!
cha kutufanya tuonekane wachawi kwa mama zenu au dada zenu ni nini jamani!
kwa walio na hii tabia hebu jirekebisheni!
mke wako ni wewe ndani yake!hebu badilikeni jamani!
wanaume sasa msipowaamini wake zenu kiasi cha wao kujua asset zenu mnawaamini kina nani jamani!
ona sasa mambo ya kuanza kuulizana vitandani ICU ''eti beby niliwahi kusikia kuwa una kampuni ya uwindaji ngorongoro file lake liko wapi?''uuuuwih hamad kabla hujamjibu vizuri unazidiwa anakutingishaje mabega sio ili upone hapana ili uendelee kumwelekeza zilipo mali zingine!
cha kutufanya tuonekane wachawi kwa mama zenu au dada zenu ni nini jamani!
kwa walio na hii tabia hebu jirekebisheni!
mke wako ni wewe ndani yake!hebu badilikeni jamani!
Hivi snowhite na BADILI TABIA ,ni wanaume tu ndo wana tabia hii ya kutowaamini wanandoa wao?
"
Kwenye jambo hili,unaweza kukuta mwanamke mwenyewe ndo chanzo
"
Hata kama mwanamke sio chanzo,hiki sio kipimo cha kuwajumlisha wanaume wote.
"
Kufanya hivi ni kutokututendea haki!