Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Na huo ndiyo ukweli mchungu. Biashara ya usafirishaji inahitaji uwekezaji. Nunua magari mazuri, maada ya miaka michache uza, nunua mengine!

Sasa Simba Mtoto na Raha Leo sijui hela wanapeleka wapi! Kwa sasa hawana tofauti na akina Shambalai! Yaani kuna Simba Mtoto moja ya Tanga - Dodoma, ina siti za 2 by 3! Si dharau hizi kwa watu wa Jiji la Dodoma!
hivi zile bus za bembea bado zipo tanga -dar
 
Bus La kampuni Baraka kutoka Masasi kwenda Morogoro, japo main destination ilikuwa Dodoma tukaachwa solemba kongowe baadae solemba temeke baadae solemba Magufuli terminal ni aibu Higher gari zuri ila hii kampuni inaboa sijakata tamaa nawapa nafasi I hope wako poa now.
Baraka inakera mno.Wanaringa mno Kwa kua hawana mpinzani.Ni wao Tu wanaofanya safari za morogoro na Dodoma.
 
Baraka inakera mno.Wanaringa mno Kwa kua hawana mpinzani.Ni wao Tu wanaofanya safari za morogoro na Dodoma.
Maning nice yupo pia kwa mtwara Baraka wanaringa masasi kwa saaana kuna demu tunapendana yupo hii kampuni shida yao nadhani service. Higer gari nzuri seat safi mno
 
Najmnisa Ile ya zamani, kidogo niteme ulimi chini mwanza dar spidi kama Kobe, nilifika dar nikaumwa wiki.
 
Back
Top Bottom