hivi zile bus za bembea bado zipo tanga -darNa huo ndiyo ukweli mchungu. Biashara ya usafirishaji inahitaji uwekezaji. Nunua magari mazuri, maada ya miaka michache uza, nunua mengine!
Sasa Simba Mtoto na Raha Leo sijui hela wanapeleka wapi! Kwa sasa hawana tofauti na akina Shambalai! Yaani kuna Simba Mtoto moja ya Tanga - Dodoma, ina siti za 2 by 3! Si dharau hizi kwa watu wa Jiji la Dodoma!
Ni kweli. Huwa tunapenda vitu vya kijinga kijinga sana!!Cha ajabu abiria hua wanacheka na kuzifurahia,ndipo utajua abiria hawatofautiani na watoto tu.
Hilo basi nilipanda kutoka Dom kwenda dar tulifika pamoja na mabasi yanayotoka mbeya, mgongo uliuuma kinoma kutokana na viti vibovuSHUKRANI CLASSIC DAR TO DOM
Mbona utatamani uombe uishie morogoro
Mgamba lile lenye mlango kati kati
Hizi gari aiseee, au basi tu ngoja nikae kimya.Princess Muro
Umepandia kahama? Wapiga debe sio watuπππNipo ndani ya basi na nishajiapiza sitapanda tena.
Linaitwa Champion
Acheni kitu inaitwa KANDAHARI ile basi hakika inafanana na jimbo la KANDAHAAR AFGANSTAN hukooo
Bus La kampuni Baraka kutoka Masasi kwenda Morogoro, japo main destination ilikuwa Dodoma tukaachwa solemba kongowe baadae solemba temeke baadae solemba Magufuli terminal ni aibu Higher gari zuri ila hii kampuni inaboa sijakata tamaa nawapa nafasi I hope wako poa now.Bus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Baraka inakera mno.Wanaringa mno Kwa kua hawana mpinzani.Ni wao Tu wanaofanya safari za morogoro na Dodoma.Bus La kampuni Baraka kutoka Masasi kwenda Morogoro, japo main destination ilikuwa Dodoma tukaachwa solemba kongowe baadae solemba temeke baadae solemba Magufuli terminal ni aibu Higher gari zuri ila hii kampuni inaboa sijakata tamaa nawapa nafasi I hope wako poa now.
Maning nice yupo pia kwa mtwara Baraka wanaringa masasi kwa saaana kuna demu tunapendana yupo hii kampuni shida yao nadhani service. Higer gari nzuri seat safi mnoBaraka inakera mno.Wanaringa mno Kwa kua hawana mpinzani.Ni wao Tu wanaofanya safari za morogoro na Dodoma.