Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Duh ungefunguka mkuu
 

Kitu cha kwanza katika biashara kabla ya vitu vyote ni pesa.

Anza kuwaza pesa, pesa ndo itaamua ni biashara hipi unatakiwa huwe na hayo, baada ya pesa kuamua linakuja wazo, wazo kitatokana na uwezo wa kifedha uliyonao, wazo litakupa aina ya biashara yaani bidhaa ambayo unaona hii watu watakuelewa mwisho ni masoko.

Business secret
1.Finacial support
2.Great products
3 market

Kumbuka wazo la biashara liendane na uchumi wako, kwaiyo pesa kwanza.
 
Biashara gani hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilivyo soma jina tu SANGA nikapita kushoto chap, mkinga si mtu wa kushindana nae.
 
NGURUWE MLINUNUA BEI GANI MKUU?

vp kuhusu gharama za kuwatunza mpaka kuja kuwauza?
 
Kupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :

Kuuza maziwa fresh /mtindi

Kuuza chakula

Chips..

Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Uko pande za wapi mdau mi Niko toangoma
 
Mkinga bwana anaweza kuanza kuuza maji ya kandoro baada ya mwaka tu unakuta anamiliki duka la jumla kariakoo wanamiujiza yao hawa watu
Hivi inakuwaga discipline yao au wanstumia zaidi mafusho ya kiganga kutoboa?
 
Hivi inakuwaga discipline yao au wanstumia zaidi mafusho ya kiganga kutoboa?
Kabla ya mganga kwanza inabidi vitu vyote muhimu kwa ustawi wa biashara viwepo.
Mganga hawezi kufanya maajabu kama huna mtaji

Mganga hawez kufanya maajabu kama upo location mbaya.

Mganga hawezi kufanya maajabu kama unafungua dukani saa 4 na sa 12 umeshafunga.

Kazi ya mganga ni kulainisha tu mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…