Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Hakika serikali haimjali MKULIMA imemntengea asilimia moja ya BAJETI nzima.WANANCHI wanapaswa waamke wajue hii SERIKALI haiwatambui imewajali wanaoishi MIJINI.WANANCHI sasa jiandaeni mtakunywa GONGO vileo bei juu na gharama za kupiga simu zimeongezwa.INASIKITISHA Wtz wenzangu MUNGU ibariki Tz.