Ni Augustine Lyatonga Mrema, The 1995 CCM conquer

Mimi nadhani tukubali kuwa Mhe. Augutine Lyatonga Mrema alikuwa na hata sasa bado yuko kwenye mipango ya nchi. Inahitaji fikra pevu kulijua hili...ila kwa ushabiki wa siasa wa juu juu au kwa kutaka kuwalaghai watu wepesi unaweza kumtumia kama ilivyo kwenye uzi huu. Lakini pia kwa maslahi mapama, sitawataja viongozi wengine waliokwenye mipango kama ya Mhe. Lyatonga.
 
Mimi nadhani tukubali kuwa Mhe. Augutine Lyatonga Mrema alikuwa na hata sasa bado yuko kwenye mipango ya nchi. Inahitaji fikra pevu kulijua hili...ila kwa ushabiki wa siasa wa juu juu au kwa kutaka kuwalaghai watu wepesi unaweza kumtumia kama ilivyo kwenye uzi huu. Lakini pia kwa maslahi mapama, sitawataja viongozi wengine waliokwenye mipango kama ya Mhe. Lyatonga.
Tatizo hawa weusi wa kaskazini hawamkubali sijui kwann
 
Umesahau la 11. Mrema alikuwa na amekuwa mpaka Leo muokota mipira ya kuzuia goal la upinzani kuingia upande wa ccm ndie kindakindaki no moja mpaka leo hataki ccm kutoka madarakani.
Wanaosema Mrema alikuwa mpinzani wa kweli hawajui Mrema alienda upinzani. Hawajui sababu za Mrema kwenda upinzani ilikuwa ni mission. Ila baada ya Mrema kupata popularity kiasi kile akawageuka. Hawajui mwaka 1982 Mrema alienda kusoma course ya Civil Protection/emergency management Rakovsk academy nchini Bulgaria alivyorudi akapewa Kitengo Maalumu kabla ya kuingia kwenye siasa? Hawajui kuingia kwa Mrema kwenye siasa ulikuwa mkakati maalumu uliopangwa na wakubwa?
Mrema si mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani.
 
Wanaosema Mrema alikuwa mpinzani wa kweli hawajui Mrema alienda upinzani. Hawajui sababu za Mrema kwenda upinzani ilikuwa ni mission. Ila baada ya Mrema kupata popularity kiasi kile akawageuka. Hawajui mwaka 1982 Mrema alienda kusoma course ya Civil Protection/emergency management Rakovsk academy nchini Bulgaria alivyorudi akapewa Kitengo Maalumu kabla ya kuingia kwenye siasa? Hawajui kuingia kwa Mrema kwenye siasa ulikuwa mkakati maalumu uliopangwa na wakubwa?
Mrema si mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani.
Ni vigumu kuamini mpaka uelezee , IPO Siku watu watasema mbowe hakuwahi kuwa mpinzani pia
 
Kazi unayo mkuu? Nani kakwambia ukiwa kazini huwezi kuchangia humu? Ina maana hamna break ya tea lunch je? Na wakati wa kwenda na kurudi nyumbani mkuu kwenye gari na lifoleni lote hili unakuwa unafanya nini? Wewe utakuwa unafanya kazi kwa wahindi wewe!
Yeye ajui ilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom