Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari

Keyboard Warrior

JF-Expert Member
Aug 5, 2014
985
2,884
Baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka, gazeti la The Citizen limekuja na hii makala.

Points from the article
  • Jumla ya wanafunzi 408,372 walijiandikisha kufanya mtihani wa kidato cha nne
  • Perfomance ya mwaka huu imeongezeka kwa kiwango cha asilimia 2.56 ukilinganisha na mwaka jana
  • Wahitimu 277,283 sawa na asilimia 70.35 wamepata Div I - IV
  • Ni asilimia 27 tu wamefaulu kwa kiwango cha kuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari, yaani wamepata Div I - III
  • Waliofaulu kwa Div I - III ni wanafunzi 96,081, kati yao wasichana ni 39,282 (22.06%) na wavulana ni 56,736 (33.40%)
Jamani, tunafanya nini na elimu yetu?
Yaani kweli ni asilimia 27 tu ndo wamefaulu, halafu kuna watu watakuja kusifia kuwa perfomance imeongezeka. So what? Perfomance yakupanda kwa asilimia 2.56 ni yakujivunia nayo? Well its not good enough.

Education is one of the building blocks of a modern and advanced society, ila sisi tukiendelea kufanya tunavyo fanya, tutavuna tulichopanda. Yaani tunazalisha taifa la wajinga and no one is willing to do anything about it. We are hopeless.

Full article below
-------------------------------------------
Only 27pc of Form IV candidates qualify for high school
Dar es Salaam. The National Examinations Council of Tanzania (Necta) yesterday announced results of the 2016 Certificate of Secondary Education Examination (CSEE), which indicate a 2.56 per cent improvement over the 2015 performance.

A total of 277,283 candidates (70.35 per cent) passed, by scoring between Division I and IV.

Out of those who passed, only 27 per cent will qualify for a place in Form 5, that is, the ones who passed with Divisions I, II and III.

Announcing the results, Necta executive secretary Charles Msonde said that a total 408,372 candidates were registered to sit for the examination in 2016.

He said that among them 209,456 (51.26 per cent) were girls and 198,916 (48.71 per cent) were boys. He said that out of the 408,372 registered candidates, 355,822 were school candidates while the rest (52,550) were private candidates.

Dr Msonde revealed that a total of 277,283 candidates (both school and private) equivalent to 70.09 per cent passed the exam and of these, 135,859 were girls (equivalent to 67.06 per cent), and 141,424 were boys (equivalent to 73.26 per cent).

“This indicates a slight increase of 2.56 per cent compared to the 67.53 per cent pass rate of 2015,” he said.

He further said that a total of 244,762 school candidates performed successfully, equivalent to 70.35 per cent of the total number of candidates who sat for the examination. Of these, 119,896 were girls (67.34 per cent) while 124,866 (equivalent to 73.50 per cent) were boys.

Meanwhile, Dr Msonde said that the results show that a total of 32,521 private candidates, equivalent to 68.19 per cent, who sat the CSEE passed compared to 31,951 private candidates in 2015 (64.80 per cent), which translates to an increase of 3.39 per cent.

He further noted that in the Qualifying Test (QT) exam, candidates who performed successfully were 8,751 (equivalent to 50.48 per cent) as compared to 7,536 candidates (equivalent to 46.63 per cent) in 2015, which is an increase of 3.85 per cent.

Among the 96,081 candidates who passed with Division I, II and III, girls were 39,282 (22.06 per cent) and boys were 56,736 (33.40 per cent).

Dr Msonde said that Necta has also withheld results of some candidate, including those of 33 who missed some papers due illness in the course of the exams.

He noted that 40 students from Hellens Secondary whose results have been withheld will only receive their results after the school head submits the prerequisite continuous assessment (CA) report as per Section 9(2) of the examination regulations.

He further revealed that Necta has cancelled examination results for 126 candidates who were found cheating.

Of the alleged cheats, 58 were school candidates; another 58 were private, while 10 were 10 QT candidates. Necta also nullified the results of one student who penned insults on his answer scripts.

The Top 10 best schools are: Feza Boys, Shamisiye Boys and Thomas More Machrina in Dar es Salaam, three schools in Coastal Region including Marian Girls, Marian Boys and St Aloysius Girls.

Others in the Top 10 league are St Francis Girls in Mbeya, Kaizirege Junior in Kagera, Kifungilo Girls in Tanga and Anwarite Girls in Kilimanjaro region.

The Top 10 female candidates are Cynthia Nehemiah Mchechu from St Francis Girls, Mbeya, Jigna Chavda from St Mary Goreti Kilimajaro, Naomi Tundui from Marian Girls, Coast Region, Victoria Chang’a from St Francis Mbeya, Esther Mndeme from St Mary’s Mazinde Juu, Tanga, Christa Edward from St Francis Girls, Mbeya.

Others are: Nelda John from Marian Girls, (Coast Region), Mariamu Shabani from Kifungilo Girls, (Tanga), Beatrice Mwella from St Mary’s Mazinde Juu, (Tanga) and Rachel Kisasa from Canossa, (Dar).

Meanwhile Top 10 list of boys comprise Alfred Shauri from Feza Boys, (Dar), Erick Mamuya from Marian Boys, (Coast Region), Brian Johnson from Marian Boys, (Coast), Ally Koti from ALCP Kilasara, (Kilimanjaro), Emmanuel Kajege from Marian Boys, (Coast), John Ng’hwaya from Nyegezi Seminary, Mwanza and Clever Yohana from Livingstone Boys Seminary, Tanga. Others include: Desderius Rugabandana from Morning Star, Mwanza, Kennedy Boniface and Assad Msangi from Feza Boys, Dar es Salaam.

Worst performing schools were named as: Kitonga secondary (Dar), Nyeburu (Dar), Mbopo (Dar), Mbondole (Dar), Somangile (Dar) and Kidete (Dar). Other are: include Masaki (Coast), Dahani (Kilimanjaro), Ruponda (Lindi) and Makiba (Arusha).

Dar es Salaam Region did not feature in the top 10 regions in the overall ranking in one of its worst records in recent years.
 
Kwa jinsi wanavyo muogopa mkuu siku zote mtapewa matokeo ya kisiasa mmeanza form two mtu ana D tatu na F anapewa Div 3
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?
Hahahaa full majanga
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?

Hilo swali jiulize mwenyewe, maana naona unataka kurekebisha ambapo hapana makosa.
Kidato cha kwanza mpaka cha sita ni elimu ya sekondari, ila ufaulu wa mtu kwa kiwango kinachotakiwa ifikapo kidato cha nne ndo kitaamua uendelee na elimu hiyo ama la! Ndo maana ni kaandika kuendelea...
 
Baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka, gazeti la The Citizen limekuja na hii makala.

Points from the article
  • Jumla ya wanafunzi 408,372 walijiandikisha kufanya mtihani wa kidato cha nne
  • Perfomance ya mwaka huu imeongezeka kwa kiwango cha asilimia 2.56 ukilinganisha na mwaka jana
  • Wahitimu 277,283 sawa na asilimia 70.35 wamepata Div I - IV
  • Ni asilimia 27 tu wamefaulu kwa kiwango cha kuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari, yaani wamepata Div I - III
  • Waliofaulu kwa Div I - III ni wanafunzi 96,081, kati yao wasichana ni 39,282 (22.06%) na wavulana ni 56,736 (33.40%)
Jamani, tunafanya nini na elimu yetu?
Yaani kweli ni asilimia 27 tu ndo wamefaulu, halafu kuna watu watakuja kusifia kuwa perfomance imeongezeka. So what? Perfomance yakupanda kwa asilimia 2.56 ni yakujivunia nayo? Well its not good enough.

Education is one of the building blocks of a modern and advanced society, ila sisi tukiendelea kufanya tunavyo fanya, tutavuna tulichopanda. Yaani tunazalisha taifa la wajinga and no one is willing to do anything about it. We are hopeless.

Full article below
-------------------------------------------
Only 27pc of Form IV candidates qualify for high school
Dar es Salaam. The National Examinations Council of Tanzania (Necta) yesterday announced results of the 2016 Certificate of Secondary Education Examination (CSEE), which indicate a 2.56 per cent improvement over the 2015 performance.

A total of 277,283 candidates (70.35 per cent) passed, by scoring between Division I and IV.

Out of those who passed, only 27 per cent will qualify for a place in Form 5, that is, the ones who passed with Divisions I, II and III.

Announcing the results, Necta executive secretary Charles Msonde said that a total 408,372 candidates were registered to sit for the examination in 2016.

He said that among them 209,456 (51.26 per cent) were girls and 198,916 (48.71 per cent) were boys. He said that out of the 408,372 registered candidates, 355,822 were school candidates while the rest (52,550) were private candidates.

Dr Msonde revealed that a total of 277,283 candidates (both school and private) equivalent to 70.09 per cent passed the exam and of these, 135,859 were girls (equivalent to 67.06 per cent), and 141,424 were boys (equivalent to 73.26 per cent).

“This indicates a slight increase of 2.56 per cent compared to the 67.53 per cent pass rate of 2015,” he said.

He further said that a total of 244,762 school candidates performed successfully, equivalent to 70.35 per cent of the total number of candidates who sat for the examination. Of these, 119,896 were girls (67.34 per cent) while 124,866 (equivalent to 73.50 per cent) were boys.

Meanwhile, Dr Msonde said that the results show that a total of 32,521 private candidates, equivalent to 68.19 per cent, who sat the CSEE passed compared to 31,951 private candidates in 2015 (64.80 per cent), which translates to an increase of 3.39 per cent.

He further noted that in the Qualifying Test (QT) exam, candidates who performed successfully were 8,751 (equivalent to 50.48 per cent) as compared to 7,536 candidates (equivalent to 46.63 per cent) in 2015, which is an increase of 3.85 per cent.

Among the 96,081 candidates who passed with Division I, II and III, girls were 39,282 (22.06 per cent) and boys were 56,736 (33.40 per cent).

Dr Msonde said that Necta has also withheld results of some candidate, including those of 33 who missed some papers due illness in the course of the exams.

He noted that 40 students from Hellens Secondary whose results have been withheld will only receive their results after the school head submits the prerequisite continuous assessment (CA) report as per Section 9(2) of the examination regulations.

He further revealed that Necta has cancelled examination results for 126 candidates who were found cheating.

Of the alleged cheats, 58 were school candidates; another 58 were private, while 10 were 10 QT candidates. Necta also nullified the results of one student who penned insults on his answer scripts.

The Top 10 best schools are: Feza Boys, Shamisiye Boys and Thomas More Machrina in Dar es Salaam, three schools in Coastal Region including Marian Girls, Marian Boys and St Aloysius Girls.

Others in the Top 10 league are St Francis Girls in Mbeya, Kaizirege Junior in Kagera, Kifungilo Girls in Tanga and Anwarite Girls in Kilimanjaro region.

The Top 10 female candidates are Cynthia Nehemiah Mchechu from St Francis Girls, Mbeya, Jigna Chavda from St Mary Goreti Kilimajaro, Naomi Tundui from Marian Girls, Coast Region, Victoria Chang’a from St Francis Mbeya, Esther Mndeme from St Mary’s Mazinde Juu, Tanga, Christa Edward from St Francis Girls, Mbeya.

Others are: Nelda John from Marian Girls, (Coast Region), Mariamu Shabani from Kifungilo Girls, (Tanga), Beatrice Mwella from St Mary’s Mazinde Juu, (Tanga) and Rachel Kisasa from Canossa, (Dar).

Meanwhile Top 10 list of boys comprise Alfred Shauri from Feza Boys, (Dar), Erick Mamuya from Marian Boys, (Coast Region), Brian Johnson from Marian Boys, (Coast), Ally Koti from ALCP Kilasara, (Kilimanjaro), Emmanuel Kajege from Marian Boys, (Coast), John Ng’hwaya from Nyegezi Seminary, Mwanza and Clever Yohana from Livingstone Boys Seminary, Tanga. Others include: Desderius Rugabandana from Morning Star, Mwanza, Kennedy Boniface and Assad Msangi from Feza Boys, Dar es Salaam.

Worst performing schools were named as: Kitonga secondary (Dar), Nyeburu (Dar), Mbopo (Dar), Mbondole (Dar), Somangile (Dar) and Kidete (Dar). Other are: include Masaki (Coast), Dahani (Kilimanjaro), Ruponda (Lindi) and Makiba (Arusha).

Dar es Salaam Region did not feature in the top 10 regions in the overall ranking in one of its worst records in recent years.
Mkuu ubarikiwe kwa hii taarifa. Uhalisia wa Elimu ya Tanzania. Wenye masikio na wasikie
 
IMG_20170201_105339_016.JPG
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?

Mkuu Baraghash umeniangusha sana leo..

Kabla hujacomment please try to read the thread btn the lines/words
 
Our Education is non-directional siasa tupu zimejaa kwa sekta nyeti kama hii, jifunzeni kwa nchi zilizofanikiwa (comperative education).
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?
I don't understand your point of correction. mkuu yupo sawa nashangaa Kama kupaniki hivi. 27% ni janga japo elimu ngumu.
 
Mwandishi wa hii habari ni mpotoshaji, kufuzu kwa high school angalau upate C Tatu kwa hiyo kuna asilimia zaidi ya hiyo walioqualify.
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?
Acha ujuaji mkuu,meseji ya mleta mada imefika na imeeleweka,hivi vikasiro vyako ni sawa na Kingereza cha Magu hakimuondolei ukweli kwamba yeye ni PhD holder
 
Ni asilimia 27 tu ya wahitimu wa kidato cha nne wamefaulu kuendelea na elimu ya sekondari
Hivi nikuulize wewe uliwahi hata kuhitimu hicho kidato cha nne ukafaulu kuendelea na "sekondari"? Kwani Kidato cha nne nikiwango gani cha elimu?
Anything wrong?
Kuendelea maana yake ulishaanza hivyo unaendelea, kwa kuanzia pale ulipoishia . . .
Au kuendelea maana yake nn?
 
Back
Top Bottom