Ni asili ya mwanamke ikitokea usishangae

Ni asili ya mwanamke ikitokea usishangae

pwilo

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
11,645
Reaction score
14,804
Habari za majukumu wadau,

Mungu ni mwema siku zote kwa kutupa afya njema na uzima na kuendelea na mapambano ya kitafuta mkate pamoja na kujenga nchi.

Niende kwenye mada ambayo ni mambo ambayo ni asili ya mwanamke toka enzi za mababu wanaume hawawezi kufanya kama wanawake wanavyoyakabili mambo kwani hata mungu, alisema tuishi nao kwa akili maana kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ki asili na kimazingira.

Sasa yafuatayoa ni mambo ambayo wanayafanya wanawake kwa asilimia kubwa wanapokuwa kwenye ndoa au hata uchumba:–

1. Mwanamke unaweza ukamuoa akiwa na watoto ukawapenda na kuwasomesha mpaka ngazi za juu ila wanaume akiwa na mtoto hata mmoja tu atamchukia na kumsingizia kila baya ili amchukie.

2.Mwanamke anaweza akamleta ndugu yake mahali mnapoishi kimatibabu au kimatembezi ukampenda na kumuhudumia ila wakija ndugu wa mume kwake anaanza visa na chuki dhidi yao.

3.Mwanamke anaweza akakaa na mama yake mzazi mahali alipo olewa miaka nenda miaka rudi ila akija mama wa mume hyo ni vita ya Ukraine na Russia itatokea hapo.

4.Mwanaume anaweza akasoma mpaka akawa na cheo kikubwa iwe serikalini au kwenye jamii ila akaoa darasa la saba na wakaishi vizuri tu ila mwanamke akisoma ni mara chache sana atakubali kuolewa na mtu aliyemzidi elimu na akiishi nae basi atamtesa.

5. Mwanaume anaweza akamuuguza mke wake kipindi anaumwa mpaka akapona au kufikwa na umauti ila mwanamke ni mara chache sana kumvumilia mweza wake akipata maradhi ya mda mrefu au akishuka kiuchumi.

Yapo mengi ndugu zangu ila hyo ni mifano tu unaweza ukaongeza ya kwako ila kiufupi wanawake hawana uvumilivu kuwashinda wanaume.

ENYI WANAUME ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI mwisho wa kunukuu.
 
Ndio maana Mungu ametubariki wanaume toka dunia inaanza maendeleo mengi ya kisayansi na kiteknolojia tumeleta sisi tumetawala kila kitu dunia mpka wanyama na wadudu

Kwenye vitabu vya dini mitume na manabii ni wanaume

neno "Man " linatumika kama binadamu ambalo lina maana ya mwanaume kwenye vitabu mbalimbali vya kisayansi kihistoria ,kifilosofia na kadhalika
 
Habari za majukumu wadau,

Mungu ni mwema siku zote kwa kutupa afya njema na uzima na kuendelea na mapambano ya kitafuta mkate pamoja na kujenga nchi.
Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .

Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.

Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
 
Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .

Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.

Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
One in a million
 
Habari za majukumu wadau,

Mungu ni mwema siku zote kwa kutupa afya njema na uzima na kuendelea na mapambano ya kitafuta mkate pamoja na kujenga nchi.

Niende kwenye mada ambayo ni mambo ambayo ni asili ya mwanamke toka enzi za mababu wanaume hawawezi kufanya kama wanawake wanavyoyakabili mambo kwani hata mungu, alisema tuishi nao kwa akili maana kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ki asili na kimazingira.

Sasa yafuatayoa ni mambo ambayo wanayafanya wanawake kwa asilimia kubwa wanapokuwa kwenye ndoa au hata uchumba:–
Hili la kuomba pesa Kila mara na lenyewe ni la asili??
 
Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .

Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.

Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
Yaani mkuu hyo hutokea kwa mwanamke mmoja kati ya au zaidi ila wanawake asilimia kubwa wapo hvyo.
 
Hili la kuomba pesa Kila mara na lenyewe ni la asili??
La kuomba pesa kila mara hilo ni la wanawake wa dar tu huko mikoani hakuna hayo mambo ya mizinga mara kwa mara.
 
Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .

Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.

Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
Huyo mke alimtoa kafara,think out of the box hakukuwa na upendo wa kweli bali kutimiza ibada yake ya kishetani
 
Habari za majukumu wadau,

Mungu ni mwema siku zote kwa kutupa afya njema na uzima na kuendelea na mapambano ya kitafuta mkate pamoja na kujenga nchi.

Niende kwenye mada ambayo ni mambo ambayo ni asili ya mwanamke toka enzi za mababu wanaume hawawezi kufanya kama wanawake wanavyoyakabili mambo kwani hata mungu, alisema tuishi nao kwa akili maana kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanaume ki asili na kimazingira.

Sasa yafuatayoa ni mambo ambayo wanayafanya wanawake kwa asilimia kubwa wanapokuwa kwenye ndoa au hata uchumba:–

1. Mwanamke unaweza ukamuoa akiwa na watoto ukawapenda na kuwasomesha mpaka ngazi za juu ila wanaume akiwa na mtoto hata mmoja tu atamchukia na kumsingizia kila baya ili amchukie.

2.Mwanamke anaweza akamleta ndugu yake mahali mnapoishi kimatibabu au kimatembezi ukampenda na kumuhudumia ila wakija ndugu wa mume kwake anaanza visa na chuki dhidi yao.

3.Mwanamke anaweza akakaa na mama yake mzazi mahali alipo olewa miaka nenda miaka rudi ila akija mama wa mume hyo ni vita ya Ukraine na Russia itatokea hapo.

4.Mwanaume anaweza akasoma mpaka akawa na cheo kikubwa iwe serikalini au kwenye jamii ila akaoa darasa la saba na wakaishi vizuri tu ila mwanamke akisoma ni mara chache sana atakubali kuolewa na mtu aliyemzidi elimu na akiishi nae basi atamtesa.

5. Mwanaume anaweza akamuuguza mke wake kipindi anaumwa mpaka akapona au kufikwa na umauti ila mwanamke ni mara chache sana kumvumilia mweza wake akipata maradhi ya mda mrefu au akishuka kiuchumi.

Yapo mengi ndugu zangu ila hyo ni mifano tu unaweza ukaongeza ya kwako ila kiufupi wanawake hawana uvumilivu kuwashinda wanaume.

ENYI WANAUME ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI mwisho wa kunukuu.
Hapo mama yako mzazi, bibi zako, shangazi zako na dada zako. Wote kundi moja na bora mama yako angekubana ukafia njiani kuliko kuzaliwa naye ukaona huo ubaya unaoshuhudia sasa. Pole sana.
 
Hapo mama yako mzazi, bibi zako, shangazi zako na dada zako. Wote kundi moja na bora mama yako angekubana ukafia njiani kuliko kuzaliwa naye ukaona huo ubaya unaoshuhudia sasa. Pole sana.
Mkuu hili ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kuchangia anavyoona inafaa sasa hapo mambo ya wazazi yameingiaje tena jikite kwenye mada kuliko huo upuuzi uliondika kwani ukisema wanawake wengi ni malaya na mama yako mzazi unamjumuisha kwenye hilo.
 
Mkuu hili ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kuchangia anavyoona inafaa sasa hapo mambo ya wazazi yameingiaje tena jikite kwenye mada kuliko huo upuuzi uliondika kwani ukisema wanawake wengi ni malaya na mama yako mzazi unamjumuisha kwenye hilo.
Ukishataja mwanamke unamaana kila mwanamke akiwemo mama yako mzazi. Wote ni KE sababu hao wanaotenda wayaendao nao ni ke kama mama yako unless mama yako alizaliwa kama Bikra Maria mkingiwa Dhambi. Penda usipende kama ulivyosema ni jukwa huru, umetoa mawazo yako nami nimetoa yangu.
 
Ulicho andika ni sahihi kwa asilimia kubwa, japo si wote wako namna hiyo. Kingine huwezi jilinganisha na mwanamke, mwanamke bado yuko chini mbele ya mwanaume. Ndio maana kukawepo jinsia mbili tofauti, yaani siku zote mwanamke hawezi kuwa kama mwanaume.

Yaani unacho maanisha mwanamke afanye yale mwanaume anafanya kwa asilimia zote, hicho kitu ni hakiwezekani abadani. Akili mtu wangu
 
True love is really na ina exist kabisa, mm mwenyewe nimewahi pata upendo wa kweli kabisa kutoka kwa mwanamke yaani mpenzi wangu.
Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .

Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.

Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
 
Back
Top Bottom