Mambo viiipiii kuna picha fulani ambazo nimekuwa nikizipenda natamani kuijua hiyo app inayotoa picha za dizaini hiyo ...
Picha zenyewe nizile za kunga'aa sana lakini image zilizo nyuma hufubaa yaani huwa hazionekani vizuri ... Hope mshaziona sana hizo pics sasa nisaidie ni app ipi kwenye android inaweza hayo maujanja???
Picha zenyewe nizile za kunga'aa sana lakini image zilizo nyuma hufubaa yaani huwa hazionekani vizuri ... Hope mshaziona sana hizo pics sasa nisaidie ni app ipi kwenye android inaweza hayo maujanja???