tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
katika historia ya nchi yetu tumeshuhudia makubwa yanayofanyika katika siasa. hususani la viongoz wa majimbo kuhama chama hiki na kujiunga na ccm harafu kugombea majimbo hayo hayo kuutaka ubungo ule ule walio achana nao.
je tutulie tukiamin kwamba lengo lao ni kuunga juhudi za rais hakuna lililo nyuma ya pazia?? ina maana miaka yoote ya uongozi imezidiwa na awamu hii kwa kuleta maendeleo kias kwamba ndio awamu pekee iungwe mkono kuliko zote zilizo pita?? hapa kuna jambo linaandaliwa tukibweteka na kuponda tu hii hama hama tutakua hatutumii akili. hebu tuanze kushughulisha vichwa vyetu . ninini ajenda ya serikali hii ya ccm inapanga kufanya huko mbeleni??
wafanyakaz mwaka wa tatu hakuna nyongeza za mishahara lakn watu wanasema hii awamu inafanya makuu!!
ya kweli haya?? kuna ninini kinaandaliwa kufanywa kikubwa??
tukumbuke ni bajet kabisa inapangwa kuwapata hawa wabunge na madiwani.
kuna wakati inaweza pita miezi sita hutosikia mtu akiunga juhudi za mweshimiwa. ila bajeti ikitoka mwezi mmoja au miwili hivi utasikia watu wanaunga mkono juhudi za mheshimiwa. bajeti ikiisha kunakua kimyaaaa. je wanaambizana Tanzania nzima, huu ni wakati wa kuunga mkono juhud za mheshimiwa??kumbukeni tulipumzika kuzisikia hizi mambo
sasa twende kwenye hoja nini ajenda ya hii hama hama???
tumegundua hawahami kwa hiali yao bali wanasawishiwa na serikali ya ccm je ajenda ya wanaoongoza serikali ninini?? sina majibu juu ya kilicho nyuma ya hii hama hama ila nawaasa watanzania wenzangu tunapaswa kujadili lililo mbele yetu kuliko kuponda tuu hii hama hama. siku tukishituka tutajikuta wametutumbukiza shimoni huku sisi tulikua tunaona kabisa tunasombwa na kupakiwa kwenye maroli ila hatukushituka je sisi ni mizigo hadi tusione tunaenda wapi??
binafsi naona wana mpango wa kubadilisha katiba huko mbeleni sasa wanaandaa wabunge wengi wa kuunga mkono jambo lao. sio kubadirisha kutupa nzuri baki kandamizi ikiwemo kuongeza muda wa uraisi.
kingine wanaatuandaa kasaikojia huko mbeleni wabunge wa upinzani wapatikane wachache ikiwezekana wasiwepo na hatutashituka maana tutasema ccm imeanza kupendwa hata kabla ya uchaguzi.
pia wanatutoa kwenye njia tusiende kupiga kura maana hatutakua na imani na viongoz wetu, tukiamini muda wowote watamuunga mkono tunaempinga.
kubwa zaidi hawataki vyama vya upinzani. hata vikiwepo basi viwe ni vile vyenye kuendeshwa na wao. lakn wapinzani halisi wanawafuta wote.
tujiandae mwaka 2020 kutowaona wabunge wote machachali maana hawataki kukosolewa. kama kuna mpinzani ataingia bungeni basi ni yule asiye na madhara kwao. ila akina LEMA , LISSU , MDEE, ZITTO ba wengineo tutaweka historia waliwahi kuwa wabunge.
huo ni mtizamo wangu. je nyie wana jamvi mnahisi hawa wanunuzi wamepanga kutufanyia nini huko mbeleni?? njooni tujadili hatima ya siasa za nchi yetu. tukikaa kimya hatufikilii yaliyo mbele yetu.
je tutulie tukiamin kwamba lengo lao ni kuunga juhudi za rais hakuna lililo nyuma ya pazia?? ina maana miaka yoote ya uongozi imezidiwa na awamu hii kwa kuleta maendeleo kias kwamba ndio awamu pekee iungwe mkono kuliko zote zilizo pita?? hapa kuna jambo linaandaliwa tukibweteka na kuponda tu hii hama hama tutakua hatutumii akili. hebu tuanze kushughulisha vichwa vyetu . ninini ajenda ya serikali hii ya ccm inapanga kufanya huko mbeleni??
wafanyakaz mwaka wa tatu hakuna nyongeza za mishahara lakn watu wanasema hii awamu inafanya makuu!!
ya kweli haya?? kuna ninini kinaandaliwa kufanywa kikubwa??
tukumbuke ni bajet kabisa inapangwa kuwapata hawa wabunge na madiwani.
kuna wakati inaweza pita miezi sita hutosikia mtu akiunga juhudi za mweshimiwa. ila bajeti ikitoka mwezi mmoja au miwili hivi utasikia watu wanaunga mkono juhudi za mheshimiwa. bajeti ikiisha kunakua kimyaaaa. je wanaambizana Tanzania nzima, huu ni wakati wa kuunga mkono juhud za mheshimiwa??kumbukeni tulipumzika kuzisikia hizi mambo
sasa twende kwenye hoja nini ajenda ya hii hama hama???
tumegundua hawahami kwa hiali yao bali wanasawishiwa na serikali ya ccm je ajenda ya wanaoongoza serikali ninini?? sina majibu juu ya kilicho nyuma ya hii hama hama ila nawaasa watanzania wenzangu tunapaswa kujadili lililo mbele yetu kuliko kuponda tuu hii hama hama. siku tukishituka tutajikuta wametutumbukiza shimoni huku sisi tulikua tunaona kabisa tunasombwa na kupakiwa kwenye maroli ila hatukushituka je sisi ni mizigo hadi tusione tunaenda wapi??
binafsi naona wana mpango wa kubadilisha katiba huko mbeleni sasa wanaandaa wabunge wengi wa kuunga mkono jambo lao. sio kubadirisha kutupa nzuri baki kandamizi ikiwemo kuongeza muda wa uraisi.
kingine wanaatuandaa kasaikojia huko mbeleni wabunge wa upinzani wapatikane wachache ikiwezekana wasiwepo na hatutashituka maana tutasema ccm imeanza kupendwa hata kabla ya uchaguzi.
pia wanatutoa kwenye njia tusiende kupiga kura maana hatutakua na imani na viongoz wetu, tukiamini muda wowote watamuunga mkono tunaempinga.
kubwa zaidi hawataki vyama vya upinzani. hata vikiwepo basi viwe ni vile vyenye kuendeshwa na wao. lakn wapinzani halisi wanawafuta wote.
tujiandae mwaka 2020 kutowaona wabunge wote machachali maana hawataki kukosolewa. kama kuna mpinzani ataingia bungeni basi ni yule asiye na madhara kwao. ila akina LEMA , LISSU , MDEE, ZITTO ba wengineo tutaweka historia waliwahi kuwa wabunge.
huo ni mtizamo wangu. je nyie wana jamvi mnahisi hawa wanunuzi wamepanga kutufanyia nini huko mbeleni?? njooni tujadili hatima ya siasa za nchi yetu. tukikaa kimya hatufikilii yaliyo mbele yetu.