Ni aibu Tanzania mpaka sasa hatuna Mahakama ya kuhoji matokeo ya Urais

Hatuna tofauti na Burundi yaan kwa utawala huu unaokuja ukikosoa hata kama serikali imekosea unafungwa kweupe
Hii ni mbaya sana wengi watakuwa na vinyongo hivyo watakuwa wanaombea mabaya yaan mungu alikosea sana kunifanya nizaliwe taifa la mazuzu namlaumu sana mpk siku ya mwisho
 
Kama Mahakama ya mafisadi ipo kama geresha tuu...

Kua na Mahakama ya kuhoji ya Urasi ni ndoto...



Cc: mahondaw
 

Ni aibu sana lakini kwa hao maprofesa wa matumbo wataona muhimu kunyazisha watu kwenye mitandao lakini kuweka utaratibu mzuri wa kupata Rais wanaona hakuna haja. Kwahiyo wizi kama wajuzi huu wa waziwazi wanatangaza mshindi ndo basi. Hili ni tatizo kubwa sana
 
Pia ni makosa makubwa Sana kuongozwa na katiba chakavu. Katiba mpya ni kwa faida ya wote watawala na watawaliwa japo watawala awaelewi hilo, uja kuelewa baadae Sana baada ya mfumo kuwatupa na hawana namna tena ya kushawishi upya mchakato. Thus tumeona Lowasa, Sumaye, membe, Mkapa eti wakitamani katiba mpya baada ya mfumo kuwatupa Hali waliweka pamba walipokuwa na nafasi hio
 

Huwa na akili baada ya mfumo kuwatupa yaani wakiondolewa mezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…