Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Kuna sababu, ili uje upiganie haki. Ndo mana Mungu akaona ni vema akulete huku kwenye uhitajiWakati mwingine najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania.
Nchi yenye watu hawaelewi HAKI na UTAWALA WA SHERIA.
Huenda nina kusudi huko mbeleni kufanya mabadiliko.
Mungu nisaidie nimalize kusoma SHERIA.
Nitafanya kitu kwa nchi yangu na kuwa mstari wa mbele kwenye kuleta HAKI NA UTAWALA WA SHERIA.
Ciao!