MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Sikupenda kulizungmzia hili lakini imenibidi baada ya kuona watu waliofilisika kimawazo na kisiasa kila kona kutumia jina la mtu kufunika maovu yao.
Kumekua na watu humu hasa wafuasi wa chama cha mapinduzi bila as aibu kupenda kulitumia jina la aliyekua Mgombea wa urais kupitia UKAWA Mh Edward Lowassa.
Watu hawa bila hata kumwogopa Mungu hupenda kutimiza Malengo yao binafsi kutumia jina la mtu ambaye alishsutangazia umma kua yeye mikono yake ni safi na aliamua kumwachia Mungu kwa yote yanayosemwa juu yake.
Hawa watu ambao binafsi kwa Lugha mimi huwaita wafu wa kisiasa ni kwanini wanashindwa kukuelewa haya?
1. Huko Bandarini kwenye Makontena na mita za mafuta Lowassa yupo?
2. Huko NIDA kuna mkono wa Lowassa?
3. Huko UDA kuna mkono wa Lowassa?
4. Majipu yote yanayotumbuliwa na mtu amesikia Lowassa akitajwa?Maana kuna hata wengine wameshaambiwa hawachomoi.
Unapokosa kitu cha kuongea ni bora kukaa kimya maana aliyetaka kuzamisha hii nchi umma watanzania unamjua na hata dunia inajua na sio Lowassa.
Kumekua na watu humu hasa wafuasi wa chama cha mapinduzi bila as aibu kupenda kulitumia jina la aliyekua Mgombea wa urais kupitia UKAWA Mh Edward Lowassa.
Watu hawa bila hata kumwogopa Mungu hupenda kutimiza Malengo yao binafsi kutumia jina la mtu ambaye alishsutangazia umma kua yeye mikono yake ni safi na aliamua kumwachia Mungu kwa yote yanayosemwa juu yake.
Hawa watu ambao binafsi kwa Lugha mimi huwaita wafu wa kisiasa ni kwanini wanashindwa kukuelewa haya?
1. Huko Bandarini kwenye Makontena na mita za mafuta Lowassa yupo?
2. Huko NIDA kuna mkono wa Lowassa?
3. Huko UDA kuna mkono wa Lowassa?
4. Majipu yote yanayotumbuliwa na mtu amesikia Lowassa akitajwa?Maana kuna hata wengine wameshaambiwa hawachomoi.
Unapokosa kitu cha kuongea ni bora kukaa kimya maana aliyetaka kuzamisha hii nchi umma watanzania unamjua na hata dunia inajua na sio Lowassa.