Wanataka miujiza juzi hapa wanepandishiwa posho kutoka 150000 hadi 250000Awamu dhaifu, faida inapatikana vipi?
Ni upigaji
safari zisizoisha
masifa ya kijinga
Wanataka miujiza juzi hapa wanepandishiwa posho kutoka 150000 hadi 250000Awamu dhaifu, faida inapatikana vipi?
Ni upigaji
safari zisizoisha
masifa ya kijinga
Magufuli amekuda 2021 hadi leo miaka mitatu bado ndo anaidai apewa gawioMaigizo ya Magufuli kupewa faida ya gawiwo na mashirika ya umma ndio mnayaona sasa.
Kenya airways wametangaza kupata faida mwaka huu baada ya kupata hasara Kwa miaka 7 mfululizo, financial reports hazitaki siasa.
Umeongea point 100% maana nilitaka kusema haya ndio nikapitia comment yako. Swali la kujiuliza hasara inatokea wapi mfano watuambia ATCL hasara kwa maana matumizi makubwa kuliko mapato, tujue mishahara inalipwa toka wapi? serikalini? au mapato yao kama ni mapato yao tuambiwe hasara ni mishahara au gharama za operation za ndege sababu kutwa ziko ardhini faida itatoka wapi. weka bei ndogo uvutie wateja wengi ili mtu avutiwe na bei ndogo na ndege zitakuwa angani muda wote. Kama hasara mishahara hapo watu ni wengi kuliko mahitaji ndio raha ya private sector, kukiwa na hasara wa address inatoka wapi wanachukuwa hatua.Kwa modal ya ATCL haiwezi pata faida kamwe labda waumize watu.
Kwa ndege 14 walizo nazo ATCL ilitakiwa ipunguze bei na kuongeza miruko, wangeweka bei kama za Fastjet hakika ndege za Mwanza,Mbeya, KIA, Dodoma zingekuwa zinapishana.
Tatizo la haya mashirika ni kuwa mishahara ya wafanyakazi hulipwa na serikali, yangekuwa yanajitegemea kutokana na mapato yao hakika yangepunguza wafanyakazi na kupata faida.
Serikaliisiwalipie mishahara wajitegemee tuone kama watafanya upuuzi
Jana tulikuwa tunabishana na ww mie nikasema ngoja mie nasubili repot ya CAG TU ndio nijue kweli SAMIA ANASABABU YA KUMWAMINI TENA AU NI TRASH TUJust imagine yaani TTCL kutoka Kupata faida Hadi Kuzalisha Hasara yet bodi zipo na CEO yupo harafu Serikali Inatumika Kodi za Maskini kwenda kuwalipa mishahara.
Huu upuuzi ukome,kama hawawezi pata faida badilini sheria Ili hayo Mashirika yawe Kwa Ajili ya Huduma Kwa Umma.
Ni aibu Kwa Mashirika karibu yote ya Umma kuingiza hasara
ATCL
TRC
Posta
Benki ya Uwekezaji nk
TanOil
Dart nk
My Take
Viongozi oneni aibu na wahusika wawajibishwe
----
Ripoti ya mwaka wa fedha 2022/2023 imeeleza kuwa taasisi za umma zinazofanya biashara zimepata hasara.
Akikabidhi ripoti iliyokaguliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, siku ya Alhamisi asubuhi, CAG Charles Kichere alisema ofisi yake inaelewa juhudi za serikali za kuboresha utendaji wa taasisi zake zinazopata faida lakini alisisitiza kuwa dhana ya utawala bora inapaswa kufuatwa.
Kulingana na ripoti ya CAG, katika mwaka wa 2022/2023, ATCL ilipata hasara ya jumla ya bilioni 56.64/-, ikiongezeka kutoka bilioni 35.25/- iliyoripotiwa kipindi kama hicho.
Aidha, alitaja Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kama kampuni ya umma nyingine ambayo ilirekodi hasara ya milioni 894/- katika kipindi hicho hicho.
Hata hivyo, inaonekana kampuni ya mawasiliano imeboresha utendaji wake kwani hasara imepungua kwa asilimia 94 kutoka bilioni 19.32/- iliyoripotiwa katika kipindi kilichotangulia.
Aidha, Shirika la Reli Tanzania (TRC) liliripoti hasara ya bilioni 100.70/-.
Zaidi ya hayo, ripoti ya CAG pia ilifunua kwamba Tanzania National Oil (TANOIL) ilipata hasara ya bilioni 76.56/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiongezeka kwa asilimia 68.72 ikilinganishwa na kipindi kama hicho.
Shirika la Posta Tanzania (TPC) lilipata hasara ya bilioni 1.34/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23.
Hasara ya ATCL wanajitakia wenyewe, huwezi kuwa na ndege 14 ukaajiri marubani 124.Umeongea point 100% maana nilitaka kusema haya ndio nikapitia comment yako. Swali la kujiuliza hasara inatokea wapi mfano watuambia ATCL hasara kwa maana matumizi makubwa kuliko mapato, tujue mishahara inalipwa toka wapi? serikalini? au mapato yao kama ni mapato yao tuambiwe hasara ni mishahara au gharama za operation za ndege sababu kutwa ziko ardhini faida itatoka wapi. weka bei ndogo uvutie wateja wengi ili mtu avutiwe na bei ndogo na ndege zitakuwa angani muda wote. Kama hasara mishahara hapo watu ni wengi kuliko mahitaji ndio raha ya private sector, kukiwa na hasara wa address inatoka wapi wanachukuwa hatua.
Japo ripoti ya leo imefichwa fichwa sana haiko detailedBBT JE CAG HAJASEMA BADO MAANA HUKO NDIO KUNA MADUDU SANA
NA KWENYE RUZUKU NAKO KUNA MADUDU KIBAO
Tunapoandika na kusema kwamba huyu Rais ni bomu wala hatumuonei. Lakini wajinga Wanamtetea. Kama ataendelea kuongoza huyu kila kitu cha maana kitakufa. Ni bomu kweli kweli. Watu wanajipigia tu. Mimi sitamchagua kama ataletwa hata kama nitashikiwa bastolaJust imagine yaani TTCL kutoka Kupata faida Hadi Kuzalisha Hasara yet bodi zipo na CEO yupo harafu Serikali Inatumika Kodi za Maskini kwenda kuwalipa mishahara.
Huu upuuzi ukome,kama hawawezi pata faida badilini sheria Ili hayo Mashirika yawe Kwa Ajili ya Huduma Kwa Umma.
Ni aibu Kwa Mashirika karibu yote ya Umma kuingiza hasara
ATCL
TRC
Posta
Benki ya Uwekezaji nk
TanOil
Dart nk
My Take
Viongozi oneni aibu na wahusika wawajibishwe
----
Ripoti ya mwaka wa fedha 2022/2023 imeeleza kuwa taasisi za umma zinazofanya biashara zimepata hasara.
Akikabidhi ripoti iliyokaguliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, siku ya Alhamisi asubuhi, CAG Charles Kichere alisema ofisi yake inaelewa juhudi za serikali za kuboresha utendaji wa taasisi zake zinazopata faida lakini alisisitiza kuwa dhana ya utawala bora inapaswa kufuatwa.
Kulingana na ripoti ya CAG, katika mwaka wa 2022/2023, ATCL ilipata hasara ya jumla ya bilioni 56.64/-, ikiongezeka kutoka bilioni 35.25/- iliyoripotiwa kipindi kama hicho.
Aidha, alitaja Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kama kampuni ya umma nyingine ambayo ilirekodi hasara ya milioni 894/- katika kipindi hicho hicho.
Hata hivyo, inaonekana kampuni ya mawasiliano imeboresha utendaji wake kwani hasara imepungua kwa asilimia 94 kutoka bilioni 19.32/- iliyoripotiwa katika kipindi kilichotangulia.
Aidha, Shirika la Reli Tanzania (TRC) liliripoti hasara ya bilioni 100.70/-.
Zaidi ya hayo, ripoti ya CAG pia ilifunua kwamba Tanzania National Oil (TANOIL) ilipata hasara ya bilioni 76.56/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiongezeka kwa asilimia 68.72 ikilinganishwa na kipindi kama hicho.
Shirika la Posta Tanzania (TPC) lilipata hasara ya bilioni 1.34/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23.
Hivi hii nchi ina laana ya nani?Just imagine yaani TTCL kutoka Kupata faida Hadi Kuzalisha Hasara yet bodi zipo na CEO yupo harafu Serikali Inatumika Kodi za Maskini kwenda kuwalipa mishahara.
Huu upuuzi ukome,kama hawawezi pata faida badilini sheria Ili hayo Mashirika yawe Kwa Ajili ya Huduma Kwa Umma.
Ni aibu Kwa Mashirika karibu yote ya Umma kuingiza hasara
ATCL
TRC
Posta
Benki ya Uwekezaji nk
TanOil
Dart nk
My Take
Viongozi oneni aibu na wahusika wawajibishwe
----
Ripoti ya mwaka wa fedha 2022/2023 imeeleza kuwa taasisi za umma zinazofanya biashara zimepata hasara.
Akikabidhi ripoti iliyokaguliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, siku ya Alhamisi asubuhi, CAG Charles Kichere alisema ofisi yake inaelewa juhudi za serikali za kuboresha utendaji wa taasisi zake zinazopata faida lakini alisisitiza kuwa dhana ya utawala bora inapaswa kufuatwa.
Kulingana na ripoti ya CAG, katika mwaka wa 2022/2023, ATCL ilipata hasara ya jumla ya bilioni 56.64/-, ikiongezeka kutoka bilioni 35.25/- iliyoripotiwa kipindi kama hicho.
Aidha, alitaja Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kama kampuni ya umma nyingine ambayo ilirekodi hasara ya milioni 894/- katika kipindi hicho hicho.
Hata hivyo, inaonekana kampuni ya mawasiliano imeboresha utendaji wake kwani hasara imepungua kwa asilimia 94 kutoka bilioni 19.32/- iliyoripotiwa katika kipindi kilichotangulia.
Aidha, Shirika la Reli Tanzania (TRC) liliripoti hasara ya bilioni 100.70/-.
Zaidi ya hayo, ripoti ya CAG pia ilifunua kwamba Tanzania National Oil (TANOIL) ilipata hasara ya bilioni 76.56/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiongezeka kwa asilimia 68.72 ikilinganishwa na kipindi kama hicho.
Shirika la Posta Tanzania (TPC) lilipata hasara ya bilioni 1.34/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23.
na taifa stars 😂Just imagine yaani TTCL kutoka Kupata faida Hadi Kuzalisha Hasara yet bodi zipo na CEO yupo harafu Serikali Inatumika Kodi za Maskini kwenda kuwalipa mishahara.
Huu upuuzi ukome,kama hawawezi pata faida badilini sheria Ili hayo Mashirika yawe Kwa Ajili ya Huduma Kwa Umma.
Ni aibu Kwa Mashirika karibu yote ya Umma kuingiza hasara
ATCL
TRC
Posta
Benki ya Uwekezaji nk
TanOil
Dart nk
My Take
Viongozi oneni aibu na wahusika wawajibishwe
----
Ripoti ya mwaka wa fedha 2022/2023 imeeleza kuwa taasisi za umma zinazofanya biashara zimepata hasara.
Akikabidhi ripoti iliyokaguliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, siku ya Alhamisi asubuhi, CAG Charles Kichere alisema ofisi yake inaelewa juhudi za serikali za kuboresha utendaji wa taasisi zake zinazopata faida lakini alisisitiza kuwa dhana ya utawala bora inapaswa kufuatwa.
Kulingana na ripoti ya CAG, katika mwaka wa 2022/2023, ATCL ilipata hasara ya jumla ya bilioni 56.64/-, ikiongezeka kutoka bilioni 35.25/- iliyoripotiwa kipindi kama hicho.
Aidha, alitaja Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kama kampuni ya umma nyingine ambayo ilirekodi hasara ya milioni 894/- katika kipindi hicho hicho.
Hata hivyo, inaonekana kampuni ya mawasiliano imeboresha utendaji wake kwani hasara imepungua kwa asilimia 94 kutoka bilioni 19.32/- iliyoripotiwa katika kipindi kilichotangulia.
Aidha, Shirika la Reli Tanzania (TRC) liliripoti hasara ya bilioni 100.70/-.
Zaidi ya hayo, ripoti ya CAG pia ilifunua kwamba Tanzania National Oil (TANOIL) ilipata hasara ya bilioni 76.56/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiongezeka kwa asilimia 68.72 ikilinganishwa na kipindi kama hicho.
Shirika la Posta Tanzania (TPC) lilipata hasara ya bilioni 1.34/- katika mwaka wa fedha wa 2022/23.
Naunga mkono hojaAtcl badala ya ndege kufanya kazi zinambeba rais na wapambw wake kuzunguka.
Ttcl haziwezi kupata faida Kama Rostam yupo pembeni ya rais na Rtc makampuni yote hayo wanayatengenezea hasara ili wajiuzie.