Ni aibu kwa mtumishi wa umma kung'ang'ania ofisi huku umestaafu

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,124
Kuna mbaba kazini kwetu dereva kastaafu mwezi June. Cha ajabu bado anaendelea kuja kazini. Kwakuwa kuna uhitaji wa dereva basi ofisi haiwezi kumfukuza. Nimemchana leo kuwa akubali matokeo atulie home asubiri stahiki zake.

Watumishi wa umma tujipange, huyu mzee amestaafu hajajenga nyumba, kumbe hata documents zake muhimu alikuwa anazitunza hapa kazini kimyakimya. Juzi ndipo tuligundua, ningeziona mapema ningezificha ahangaike kwanza mpaka alie ndipo ningempa.

Mtumishi wa serikali unaishi nyumba ya kusitiriwa. Mtu kajenga nyumba anakuambia nilindie nyumba yangu!!

Huyu mzee ukimwambia Jpili nakutembelea lazima akupe udhuru.
 
Kuna mbaba kazini kwetu dereva kastaafu mwezi June. Cha ajabu bado anaendelea kuja kazini. Kwakuwa kuna uhitaji wa dereva basi ofisi haiwezi kumfukuza. Nimemchana leo kuwa akubali matokeo atulie home asubiri stahiki zake.

Watumishi wa umma tujipange, huyu mzee amestaafu hajajenga nyumba, kumbe hata documents zake muhimu alikuwa anazitunza hapa kazini kimyakimya. Juzi ndipo tuligundua, ningeziona mapema ningezificha ahangaike kwanza mpaka alie ndipo ningempa.

Mtumishi wa serikali unaishi nyumba ya kusitiriwa. Mtu kajenga nyumba anakuambia nilindie nyumba yangu!!

Huyu mzee ukimwambia Jpili nakutembelea lazima akupe udhuru.
Analipwa mshahara?
 
Kuna mbaba kazini kwetu dereva kastaafu mwezi June. Cha ajabu bado anaendelea kuja kazini. Kwakuwa kuna uhitaji wa dereva basi ofisi haiwezi kumfukuza. Nimemchana leo kuwa akubali matokeo atulie home asubiri stahiki zake.

Watumishi wa umma tujipange, huyu mzee amestaafu hajajenga nyumba, kumbe hata documents zake muhimu alikuwa anazitunza hapa kazini kimyakimya. Juzi ndipo tuligundua, ningeziona mapema ningezificha ahangaike kwanza mpaka alie ndipo ningempa.

Mtumishi wa serikali unaishi nyumba ya kusitiriwa. Mtu kajenga nyumba anakuambia nilindie nyumba yangu!!

Huyu mzee ukimwambia Jpili nakutembelea lazima akupe udhuru.
Jifunze kujishughulisha na yanayokuhusu, yasiyo kuhusu achana nayo
 
Kuna mbaba kazini kwetu dereva kastaafu mwezi June. Cha ajabu bado anaendelea kuja kazini. Kwakuwa kuna uhitaji wa dereva basi ofisi haiwezi kumfukuza. Nimemchana leo kuwa akubali matokeo atulie home asubiri stahiki zake.

Watumishi wa umma tujipange, huyu mzee amestaafu hajajenga nyumba, kumbe hata documents zake muhimu alikuwa anazitunza hapa kazini kimyakimya. Juzi ndipo tuligundua, ningeziona mapema ningezificha ahangaike kwanza mpaka alie ndipo ningempa.

Mtumishi wa serikali unaishi nyumba ya kusitiriwa. Mtu kajenga nyumba anakuambia nilindie nyumba yangu!!

Huyu mzee ukimwambia Jpili nakutembelea lazima akupe udhuru.

Sometimes unapoandika vitu vingine hapa ukidhani unaleta bonge la maada, sisi werevu tunakuona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo na tunakuona mtu wa ajabu sana

maisha ya kustaafu usichukulie poa. Mtu ameafanya kazi miaka 40 au 30 kila siku anaamka asubuhi anakuja kazini anarudi nyumbani saa 11jioni, try to imagine mazingira ya ofsn huyu mtu anayaonaje! actually ameyazoea so usifikiri akistafu tu kesho ataacha kuja kazini. some wanapend kuja aftersometimes ataacha. By the way watu wametofautiana sana, yeye anakuja kwa kujitolea may be, siku akiambiwa asije hawezi kuja!

Regarding amejenga or hajajenga inakusaidia nini wewer, achana nayo this should be out of your business. La-msingi Jenga kwako! Pia kuhusu kuhifadhi nyaraka zate ofsn kitu gani kinakusumbua wewe!


mtu akiniambia niku-describe kutokana na mada yako
unamika kati ya 23-26, ni mvulana, kama hauishi kwa wazazi ndio kwanza unaishi geto na wenzako. Afu bado unaakili za kiuanafunzi au ki"toto"
 
Sometimes unapoandika vitu vingine hapa ukidhani unaleta bonge la maada, sisi werevu tunakuona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo na tunakuona mtu wa ajabu sana

maisha ya kustaafu usichukulie poa. Mtu ameafanya kazi miaka 40 au 30 kila siku anaamka asubuhi anakuja kazini anarudi nyumbani saa 11jioni, try to imagine mazingira ya ofsn huyu mtu anayaonaje! actually ameyazoea so usifikiri akistafu tu kesho ataacha kuja kazini. some wanapend kuja aftersometimes ataacha. By the way watu wametofautiana sana, yeye anakuja kwa kujitolea may be, siku akiambiwa asije hawezi kuja!

Regarding amejenga or hajajenga inakusaidia nini wewer, achana nayo this should be out of your business. La-msingi Jenga kwako! Pia kuhusu kuhifadhi nyaraka zate ofsn kitu gani kinakusumbua wewe!


mtu akiniambia niku-describe kutokana na mada yako
unamika kati ya 23-26, ni mvulana, kama hauishi kwa wazazi ndio kwanza unaishi geto na wenzako. Afu bado unaakili za kiuanafunzi au ki"toto"
Well said....
 
Kina viongozi wengi wa kisiasa na wa mashirika ya kimataifa kama vile UN wenye umri mkubwa zaidi ya huyu mnyonge unayemyonga kwa roho ya kikatili.
Trump ana miaka mingapi?
Museveni ana mingapi?
Furaha yako ni kuona anaadhirika.
Mwajiri wake anamhitaji lakini wewe mwajiriwa mwenzake roho ya korosho inakuhusu.
KUPATA SI WEREVU NA KUKOSA SI UJINGA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes unapoandika vitu vingine hapa ukidhani unaleta bonge la maada, sisi werevu tunakuona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo na tunakuona mtu wa ajabu sana

maisha ya kustaafu usichukulie poa. Mtu ameafanya kazi miaka 40 au 30 kila siku anaamka asubuhi anakuja kazini anarudi nyumbani saa 11jioni, try to imagine mazingira ya ofsn huyu mtu anayaonaje! actually ameyazoea so usifikiri akistafu tu kesho ataacha kuja kazini. some wanapend kuja aftersometimes ataacha. By the way watu wametofautiana sana, yeye anakuja kwa kujitolea may be, siku akiambiwa asije hawezi kuja!

Regarding amejenga or hajajenga inakusaidia nini wewer, achana nayo this should be out of your business. La-msingi Jenga kwako! Pia kuhusu kuhifadhi nyaraka zate ofsn kitu gani kinakusumbua wewe!


mtu akiniambia niku-describe kutokana na mada yako
unamika kati ya 23-26, ni mvulana, kama hauishi kwa wazazi ndio kwanza unaishi geto na wenzako. Afu bado unaakili za kiuanafunzi au ki"toto"
mkuu unaweza ukkuta jamaa ana miaka 40 ,mimi nimewahi kumuona mzee fulani miaka 50 hivi ni tahira sana
 
Back
Top Bottom