Ni aibu kubwa kwa TFF kwa Simba kujiandaa mchezo wa kimataifa kwa siku 14

Ligi (TPL) haina mdhamini hadi Leo huku TFF wakisema mbona hata England (EPL) nayo mdhamini hawana?
hivyo ni sawa tu

viongozi wa TFF wamebaki kupingana wao kwa wao na kuunda makundi huku wengine wakikimbilia mahakamani ili kupata haki zao ilihali wote walichaguliwa kwa njia sawa!

Mbona wiki hii EPL timu zote zitakazocheza UEFA Jumanne basi mechi zao zilichezwa Jumamosi ili wapumzike Jumapili na Jumatatu
Mfano Man utd, Liverpool, Barca n.k

Na iwapo ratiba yako ya UEFA ipo Jumatano basi walicheza Jumapili ili wapumzike Jumatatu na Jumanne
mfano Real Madrid n.k

kwa zile za Alhamisi ni kuenenda tu na ratiba ili vipolo visiwepo
Kumbe timu inaweza kupumzika masaa 48 tu wakakipiga?

Ila hiyo ya siku 14 labda timu ya Taifa na matokeo hahaha yakawa mabaya kule Lesotho

Huenda pia kuna timu ziliwahi kubebwa na ratiba kama hivi ila inabidi sasa tubadili mfumo
Kupunguza pengo la michezo iliyochezwa kati ya timu na timu regardless inashiriki michezo gani ya nje

KIKUBWA TFF UONGOZI USIONGEZEWE MUDA UPIGWE CHINI KABISA WAPEWE WATU WALIOWAHI KUCHEZA MPIRA TUACHE MAZOEA KARIA KUWA RAIS TFF BORA ANGEBAKI ALIYEPO SEGEREA
mchango mzuri kabisa mkuu....tuna shida ktk management ya TFF
 
Sio TFF hii tu hata iliyopita ilikuwa hivi.
Kwa hili wanakosea sana hata timu husika inapoteza morali inapokosa mchezo wa karibuni kwa kungoja mechi 1 kwa wiki 2.
Hali hii kwa Afrika ipo hata baadhi ya ligi kubwa afrika kama S.Afrika,morocco n.k.
Tuache ushamba tucheze mpira.
NAKUMBUKA MPAKA WEKUNDU WALIGOMA KUENDELEA NA LIGI MPAKA JANGWANI WACHEZE VIPORO...TFF MNAHARIBU LADHA YA MPIRA
 
Kanye mbele wewe.hivi kwani ni lazima ukipenda hii timu ya Yanga ni lazima uwe umejitoa ufahamu? Hivi umesahau wakati mnashiriki michuano ya kimataifa misimu mitatu ilyopita mlikuwa mnakuwa na viporo vya mechi karibu ya kumi kwa msimu,wakati ule mlikuwa wapi kulalamika,si mlikuwa mnafurahia majibu ya shombo aliyokuwa akiyatoa yule mjinga mwenzenu ambae sasa hivi kapewa bahashishi ya UDC baada ya kupeleka serikalini uchunguzi uliotukuka kuhusu matumizi ya madawa ya Manji na biashara zake zingine za magendo.Kaa kimya kama huna la kusema kutesa kwa zamu.
Hapa hatuongei ushabiki wa timu tunaongea jinsi ambavyo ladha ya mashindano yanavyopungua na hata maana ya ligi inaoksekana kabisa na haya ndiyo matatizo ya ushabiki wa simba na yanga.punguza hasira zako na fikiria maendeleo ya soka
 
Nimekuwa mdau mkubwa wa ligi mbalimbali duniani wa mpira wa miguu na ndondi na mara nyingi sana ratiba za ligi mbalimbali huwa zinakwenda vizuri sana .Mfano tu ligi ya Uingereza unaona jinsi ambavyo timu inacheza ligi kuu,kimbe cha FA Europe ligi,Champion ligi bila hata kuona ratiba ya ligi kuu ikienda vibaya.

Lakini hapa Tanzania ni aibu kwa TFF kuona timu ikijiandaa na mchezo na Nkana Red D kwa siku 14 toka walipotoka huko Bondeni.

Ni ajabu sana kwa ligi yetu hapa Tanzania kuona mpaka wiki inaisha timu zinakuwa zimecheza michezo tofauti tofauti wakati ukiangalia Ligu ya Ufaransa,Ujeruman,South Africa,Kenya,Spain n.k unaona jinsi ambavyo tiimu zimecheza michezo yao kwa uwiano sawa.

Sasa hapa kuna timu imechezo michezo 12 na timu nyingine michezo 15 ni aibu kubwa sana na huoni sababu zozote za msingi

Nini ambacho kinishindikana kufuata ratiba ya TFF,CAF na FIFA
Ni upumbavu tu wa soka la Bongo, na kwa bahati nzuri watapigwa cos watakuwa hawana match fitness, kusoma sana bila mtihani ni sawa na zero....eti ndo tifuatifua mpya, uozo mtu wanachoweza ni kufungia tu watu
 
Sio TFF hii tu hata iliyopita ilikuwa hivi.
Kwa hili wanakosea sana hata timu husika inapoteza morali inapokosa mchezo wa karibuni kwa kungoja mechi 1 kwa wiki 2.
Hali hii kwa Afrika ipo hata baadhi ya ligi kubwa afrika kama S.Afrika,morocco n.k.
Tuache ushamba tucheze mpira.
Waingereza housemate ‘two wrongs do not a right’, yaani kasoro mbili hazifanyi sahihi moja.
 
Ni upumbavu tu wa soka la Bongo, na kwa bahati nzuri watapigwa cos watakuwa hawana match fitness, kusoma sana bila mtihani ni sawa na zero....eti ndo tifuatifua mpya, uozo mtu wanachoweza ni kufungia tu watu
Nilidhani kukusanya ‘kikosi kipana’ ni kwa madhumuni ya kuwa tayari kucheza mashindano yanayokabili kwa kujiamini bila ya kukusanya viporo. Nikazidi kuamini hivyo pale kiongozi mmoja wa timu ‘yenye kikosi kipana’ alipojinasibu kwamba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja!
 
Nilidhani kukusanya ‘kikosi kipana’ ni kwa madhumuni ya kuwa tayari kucheza mashindano yanayokabili kwa kujiamini bila ya kukusanya viporo. Nikazidi kuamini hivyo pale kiongozi mmoja wa timu ‘yenye kikosi kipana’ alipojinasibu kwamba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja!
Sasa wamepewa siku 14 halafu wafungwe kama Taifa star huko Lesotho....;)
 
Waache wajaziwe viporo waje wavimalize wakati bingwa kaishatunza kombe stoo anasikilizia simba anarukaruka na vipolo visivyo na msaada kwake
 
Kanye mbele wewe.hivi kwani ni lazima ukipenda hii timu ya Yanga ni lazima uwe umejitoa ufahamu? Hivi umesahau wakati mnashiriki michuano ya kimataifa misimu mitatu ilyopita mlikuwa mnakuwa na viporo vya mechi karibu ya kumi kwa msimu,wakati ule mlikuwa wapi kulalamika,si mlikuwa mnafurahia majibu ya shombo aliyokuwa akiyatoa yule mjinga mwenzenu ambae sasa hivi kapewa bahashishi ya UDC baada ya kupeleka serikalini uchunguzi uliotukuka kuhusu matumizi ya madawa ya Manji na biashara zake zingine za magendo.Kaa kimya kama huna la kusema kutesa kwa zamu.
ndo mana hatuendelei tunabaki na kelele? hapo simba na yanga zinaingiaje? huyu katoa mfano kwa simba kuonesha madhaifu ya TFF?
arsenal vs spurs (jpl)
arsenal vs man United (jtano)
arsenal vs hfied (jmosi)
 
Mleta mada ni Akili Mali kanywe MO ya baridi itakupoza huo ujauzito unaokusumbua chura katika ubora wako
 
Nimekuwa mdau mkubwa wa ligi mbalimbali duniani wa mpira wa miguu na ndondi na mara nyingi sana ratiba za ligi mbalimbali huwa zinakwenda vizuri sana .Mfano tu ligi ya Uingereza unaona jinsi ambavyo timu inacheza ligi kuu,kimbe cha FA Europe ligi,Champion ligi bila hata kuona ratiba ya ligi kuu ikienda vibaya.

Lakini hapa Tanzania ni aibu kwa TFF kuona timu ikijiandaa na mchezo na Nkana Red D kwa siku 14 toka walipotoka huko Bondeni.

Ni ajabu sana kwa ligi yetu hapa Tanzania kuona mpaka wiki inaisha timu zinakuwa zimecheza michezo tofauti tofauti wakati ukiangalia Ligu ya Ufaransa,Ujeruman,South Africa,Kenya,Spain n.k unaona jinsi ambavyo tiimu zimecheza michezo yao kwa uwiano sawa.

Sasa hapa kuna timu imechezo michezo 12 na timu nyingine michezo 15 ni aibu kubwa sana na huoni sababu zozote za msingi

Nini ambacho kinishindikana kufuata ratiba ya TFF,CAF na FIFA
Hiyo favor ni kwa mikia tu.
 
ndo mana hatuendelei tunabaki na kelele? hapo simba na yanga zinaingiaje? huyu katoa mfano kwa simba kuonesha madhaifu ya TFF?
arsenal vs spurs (jpl)
arsenal vs man United (jtano)
arsenal vs hfied (jmosi)
good....
 
Haija kaa sawa wangeweza kukopeshwa mchezo mmoja atleast kabla mechi. Ndio maanaa team zina wachezaji 30
 
Haija kaa sawa wangeweza kukopeshwa mchezo mmoja atleast kabla mechi. Ndio maanaa team zina wachezaji 30
unavyokaa muda mrefu bila mechi ndiyo fitness ya wachezaji inavyopungua.......kukaa siku 14 lazima viwango vyao vitapungua tu.
 
Mwezi huu wa 12 club zote ktk ligi ya EPL zina mechi saba za ligi tu, hapo bado kuna wengine wamecheza UEFA. Sisi Tanzania Simba na Yanga, TFF wanaziendekeza mara kibao wanavunja sheria kwa makusudi, lakini hawachukuliwa hatua za kinidhamu na ndio maana TFF inaburuzwa sana na Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom