tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Nimekuwa mdau mkubwa wa ligi mbalimbali duniani wa mpira wa miguu na ndondi na mara nyingi sana ratiba za ligi mbalimbali huwa zinakwenda vizuri sana .Mfano tu ligi ya Uingereza unaona jinsi ambavyo timu inacheza ligi kuu,kimbe cha FA Europe ligi,Champion ligi bila hata kuona ratiba ya ligi kuu ikienda vibaya.
Lakini hapa Tanzania ni aibu kwa TFF kuona timu ikijiandaa na mchezo na Nkana Red D kwa siku 14 toka walipotoka huko Bondeni.
Ni ajabu sana kwa ligi yetu hapa Tanzania kuona mpaka wiki inaisha timu zinakuwa zimecheza michezo tofauti tofauti wakati ukiangalia Ligu ya Ufaransa,Ujeruman,South Africa,Kenya,Spain n.k unaona jinsi ambavyo tiimu zimecheza michezo yao kwa uwiano sawa.
Sasa hapa kuna timu imechezo michezo 12 na timu nyingine michezo 15 ni aibu kubwa sana na huoni sababu zozote za msingi
Nini ambacho kinishindikana kufuata ratiba ya TFF,CAF na FIFA
Lakini hapa Tanzania ni aibu kwa TFF kuona timu ikijiandaa na mchezo na Nkana Red D kwa siku 14 toka walipotoka huko Bondeni.
Ni ajabu sana kwa ligi yetu hapa Tanzania kuona mpaka wiki inaisha timu zinakuwa zimecheza michezo tofauti tofauti wakati ukiangalia Ligu ya Ufaransa,Ujeruman,South Africa,Kenya,Spain n.k unaona jinsi ambavyo tiimu zimecheza michezo yao kwa uwiano sawa.
Sasa hapa kuna timu imechezo michezo 12 na timu nyingine michezo 15 ni aibu kubwa sana na huoni sababu zozote za msingi
Nini ambacho kinishindikana kufuata ratiba ya TFF,CAF na FIFA