mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,037
Ni kama taifa la Marekani!!! Korea ya kaskazini akipinga maazimio ya umoja wa mataifa anawekewa vikwazo, lakini Marekani akipinga maaazimio ya umoja wa mataifa hakuna anayedai naye awekewe vikwazo!!Uzi wako mzuri ila huwa nashangaa siku ambayo viongozi wa dini wanatumika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli mbalimbali za kitaifa pamoja na kuisifia serikali (hiyo inakuwa sio siasa) lakini viongozi hao hao wakikosoa baadhi ya mambo (tunaanza kuwaambia wachague moja Injili ama Siasa)....