Ni aibu ama inakuaje?

Ni aibu ama inakuaje?

ErickjrJunior

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2015
Posts
328
Reaction score
78
Ni muda sasa hali hii imekua ikinishangaza, yaani ipo hivi; mimi popote niwapo, ikitokea nimekutana na mwanamke ni lazima atabadilika! Mfano, napita sehemu na kuna mwanamke anakuja tupishane, basi akiniona tuu, atabadilika!

Wengine uangalia chini mpka tunapopishana, wengine ujiweka sawa mavazi, wengine ujikagua mwili. Hayo yote hufanyika pale napokutana popote na mwanamke, mara ya kwanza nilidhani ni aibu za wanawake.

Lakini cha kunishangaza ni mpka watu wazima walio pevuka ambao auwezi kutegemea ya kwamba watakua na aibu!Hali hii imekua ikinitokea sana napokutana na mwanamke yaan tunapopishana njiani, kuna wale ambao siwafahamu kabisaa yani kila mtu na hamsini zake na kuna ambao nawafahamu wote wapo hivyo hivyo, je hali hii ni nini sabbu yake?Yani ni kma kila mwanamke naepishana nae popote, anakua kma amepoteza kujiamini hivi, hivi hii inaweza kuwa ni aibu kweli?

Je, aibu hii ni hata kwa mtu asiekuhusu unaepishana nae tu?
 
Kwani upo vipi kwa mfano??Yaani muonekano wako wa nje,kutembea kwako na uvaaji wako.
 
Kwani upo vipi kwa mfano??Yaani muonekano wako wa nje,kutembea kwako na uvaaji wako.
Napenda Kuvaa Vizuri Na Ni Mtu Ninaejipenda Na Nisiependa Kufanana Na Wengine Hata Kidogo Kuanzia Vitu Navyotumia, Ni Mtu Naependa Sana Vitu Unique.
 
Erick weka picha yako ndo tutakupa majibu halisi yasiyokuwa ya dhania.
 
بلاسس ذیسش سش؟
 
Mmh utakua unavutia una sura au umbo la kimahabat kwa wanawake si unajua kuna vitu fulan twapenda
 
Inawezekana unamwonekano wa ujambaziiiii picha yako itatusaidia kujua sabb
 
Tutakuamin vip?vip kwenye daladala nao huwa wanainama
 
kama umenigusa hapa mm ndo kbisa wanshindwa vumilia wana anza kjiongelesha na ukisha wajua unapnguza poz mbona wana koma
 
Labda upo uchi...au wanastori zako za ndani maana ukiona mwananke anakuonea haya hivyo ujue anaprofile yako yote tena ile ambayo ingetakiwa kuwa low...
 
Back
Top Bottom