Flight_controller
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 246
- 396
May mwaka huu kadi yangu ya NHIF ilisitishwa kwa kuwa nimezidi miaka 18, hivyo mwezi uliofuata nikaamua kujinyima na kulipia bima kutoka kwenye kipato changu.
Baada ya malipo nikaambiwa nisubiri mwezi mmoja ndipo nichukue kadi yangu. Cha ajabu ni mara ya 3 sasa tokea mwezi uishe kila nikienda naambiwa njoo wiki ijayo au leta passport upewe kibali cha muda.
NHIF Kinondoni huu ni upuuzi badilikeni
Baada ya malipo nikaambiwa nisubiri mwezi mmoja ndipo nichukue kadi yangu. Cha ajabu ni mara ya 3 sasa tokea mwezi uishe kila nikienda naambiwa njoo wiki ijayo au leta passport upewe kibali cha muda.
NHIF Kinondoni huu ni upuuzi badilikeni