pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,480
- 6,162
Service charge kwenye LUKU ilikuwa ni wizi,ni kero kubwa.Serikali ya awamu ya Tano imeondoa hiyo kero.Sasa hamna tena service charge.Kweli tunalipia umeme kadiri tutumiavyo.
NHIF pia kuna kero,wizi.Mtumishi analazimishwa kukatia bima watoto,mke/mme na wazazi pekee.Ikitokea mke na mme wote ni watumishi wa umma,basi wanufaika hubaki ni haohao,pande zote.Ina maana kila mnufaika atapata kadi mbili.Huu ni wizi maana mgonjwa hutumia bima mojawapo tu aendapo hospitali.
NHIF igeni mfano mzuri wa TANESCO kwa kuruhusu idadi fulani ya wanufaika pindi wanandoa wote ni wanachama wenu.
NHIF pia kuna kero,wizi.Mtumishi analazimishwa kukatia bima watoto,mke/mme na wazazi pekee.Ikitokea mke na mme wote ni watumishi wa umma,basi wanufaika hubaki ni haohao,pande zote.Ina maana kila mnufaika atapata kadi mbili.Huu ni wizi maana mgonjwa hutumia bima mojawapo tu aendapo hospitali.
NHIF igeni mfano mzuri wa TANESCO kwa kuruhusu idadi fulani ya wanufaika pindi wanandoa wote ni wanachama wenu.